Kuna tofauti gani na wimbo ule wa "uchumi wa gesi" waliotuimbisha Kikwete na Prof S Muhongo miaka karibia 10 sasa imepita? CCM wanacheza na akili zenu.
Pole sana. Kuna wazazi wa aina hiyo. Umesoma, tumia elimu yako ikiwemo pamoja na ku-ignore masimango huku ukiendelea kutafuta.
Tatizo ni umasikini. Wazazi kufikiri kuwa watoto wataondoa kutoka umaskini wao. Na mimi lilipitia huko.
Ndugu yangu, Erythrocyte (aka RBC). Nimesikiliza kwa makini clip. Mzungumzaji anaongea kitu ambacho nilihisi kabla ya kusikiliza hii clip. Nashangaa kweli CHADEMA mara hii wamekwishaisahau CCM? Mbowe kweli ameaminishwa kuwa katiba mpya itakuja hivi hivi tu?
Utafiti wako ulikuwa wa kijinga. Umekufanya uwe na watoto 3 wa mama tofauti. Testis iko kama figo. Ukiwa nayo moja ni sawa tu, kama inafanya kazi vizuri. Tena ikibaki moja, huongeza ufanisi kwa kuongezeka saizi yake na function. Siku nyingine uliza wataalam. Acha kutafiti mambo ambayo yana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.