Habari za Mchana!
Utaratibu wa kulipia Medical Report umekuwepo takribani miaka mitano iliyopita. Haukuanzishwa na Prof. Janabi.
Kuhusu kuchelewa kupatikana Report hiyo, tumelichukua jambo hili ili kuliboresha zaidi.
Asanteni
Aminiel Aligaesha
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano
Hospitali ya...
Asante sana kwa kututia moyo. Tunafarijika sana mnapotutia moyo kiasi hiki. Asante kwa kutambua mabadiliko tunayopitia na tuna imani tutafika.
Natambua kuna mahali hatufanyi vizuri basi mnaotupa maoni toeni kwa nia ya kuboresha.
Hospitali ya Taifa Muhimbili ni kwetu wote sisi tumepewa tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.