Recent content by Omukyala

  1. O

    Hospitali ya Taifa Muhimbili na urasimu wa kutoa Medical Report

    Habari za Mchana! Utaratibu wa kulipia Medical Report umekuwepo takribani miaka mitano iliyopita. Haukuanzishwa na Prof. Janabi. Kuhusu kuchelewa kupatikana Report hiyo, tumelichukua jambo hili ili kuliboresha zaidi. Asanteni Aminiel Aligaesha Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Hospitali ya...
  2. O

    Mabadiliko ya kweli yanaonekana Muhimbili

    Asante sana kwa kututia moyo. Tunafarijika sana mnapotutia moyo kiasi hiki. Asante kwa kutambua mabadiliko tunayopitia na tuna imani tutafika. Natambua kuna mahali hatufanyi vizuri basi mnaotupa maoni toeni kwa nia ya kuboresha. Hospitali ya Taifa Muhimbili ni kwetu wote sisi tumepewa tu...
Back
Top Bottom