Recent content by Omoghaya

  1. O

    Nape Nnauye: Nikisema haya naonekana Mkorofi

    Chadema nani anamtaka Labda aanzishe tena chama chake kama CCJ
  2. O

    Jeshi la Polisi lafanikiwa kuwaua majambazi wanne na kurejesha baadhi ya silaha zilizoporwa

    Majambazi sio wajinga kama watu wanavyodhani. Kwamba walikuwepo tu wanawasubili pilisi waje kupambana? Ni jambo ambalo haliwezekani hata maramoja. Kwanza inawezwkana kikosi cha operation kiliwaacha wahusika wa uhalifu huko dar Na wanao gongwa ni wengine kabisaaa
  3. O

    Mbinu chafu za maadui wa Rais Magufuli

    Roma anaweza kutekwa na yoyote iwe serikali,mtu binafsi ama kundi la kiharamia navhata chama cha siasa, na serikali inapashwa ku react immediately ili kuonyesha uwajibikaji kwa watu wake. Sasa unataka kutuamisha kwamba serikali haiwezi ku react ikiwa roma amekamatwa na Chadema? Huo ni upuuzi...
  4. O

    Mbowe awatuhumu Rais na Waziri Mkuu kukataliwa kwa wagombea wa CHADEMA Bunge la EALA

    Kiukweli kupeleka watu wawili kwa visingizio vya ccm kuwachagalia wawakilishi sio sahihi Ina maana chadema masha ma wenje ndo watu mahili pekee yake? Kwamaana kwamba kama wangeleka watu zaidi yao na wakachaguliwa wengine tofauti na masha na wenje wasingeze kufanya vizuri?
  5. O

    Rais Magufuli amteua Charles Kichere kuwa Kamishina Mkuu TRA

    Huo ndi ukweli wenyewe %199 Ni ngumu sana kudumia watu ama kufantanao kazi bila kujua asili yake Ndo maana hata wafanya biashara wskiamua kukwepa kodi huchukua muda sana kugundua njia wanayotumia kukwepa.
  6. O

    Hili gazeti la Kenya limemdhalilisha Rais Magufuli

    Kama rais wa america anachorwa na vyombo vya nje Ya humo sembuse jamaa yule? Ninyi mbona mnawasemaga akina m7ni sana bwana Robert kwani wao sio mapresidaa? Acheni lawama za kipuuzi Wakati anaomba hakujua kama kuna kejeli? Hata hivyo ninyi ndo mnahamgaika yeye ashasema hatishwi na habari za...
  7. O

    Anapotengua teuzi mnalalamika! Mnataka afanye nini sasa?

    Wote wadhaifu lakini mmoja ni dhaifu zaidi kuliko mwingine,
  8. O

    Udhaifu wa tume ya Nape dhidi ya Makonda

    Hivi sikuwahi kujua, kwamba kwanini makonda alikuwa anashikiza ile taarifa uruke hewani? Kwamba yeye ndo alipeleka hiyo stori? Na clouds hawajatuambia chanzo chao cha kupata hiyo habari alikuwa makonda? Mpaka adai kwa nguvu hicho kipindi kiruke hewani? Pamoja na yote hayo yote clounds...
  9. O

    Prof. Palamagamba Kabudi ni nani!?

    Hakuna jipya
  10. O

    Prof. Palamagamba Kabudi ni nani!?

    Huyu huyu palamagamba nikimkumbuka jinsi alivyo toa mapovu wakati akitetea rasim ya katiba ya warioba na baadae kuwa baridi kama maji ya mtungi!! Onashangaza sana
  11. O

    Ikiwa ni kweli mkuu wa mkoa wa Dar ameidharau tume ya Nape sasa atakuwa kafika mbali!

    Kwa kiburi na dharau alionyeshewa boss wake tusitegee lolote kutoka boss kubwa juu ya hilo RIJAMBAZI
  12. O

    Wataalamu wa ulinzi naombeni ushauri

    Boss Ruge aliahindwa kujibu swali la masudi kipanya Kwamba CLOUDS ILIPATA WAPI TIP YA KWENDA KUM INTERVIEW YULE MAMA WA RC?
Back
Top Bottom