Recent content by ommy gm

  1. ommy gm

    Kwako kipimo cha mke bora ni kipi?

    Ndio tatizo linapoanzia watu wanajiendesha kwa akili zao bila kua na hofu ya Mungu hapo Ulevi Uzinzi Ushirikina Wizi Chuki Vyote vinakuandama ila ukiwa mtu wa ibada angalau utapunguza mzigo kidogo
  2. ommy gm

    Kwako kipimo cha mke bora ni kipi?

    Kwa mtu anae mwamini Mungu anaemwabudu sidhani kama atakumbuka kuna mganga wala madawa labda wale vuguvugu ambao moto hawapo baridi pia hawapo kikwetu tuna sema kumcha Bwana ni chanzo cha maarifa haijalishi uko pande ipi
  3. ommy gm

    Kwako kipimo cha mke bora ni kipi?

    Asante ndugu
  4. ommy gm

    Kwako kipimo cha mke bora ni kipi?

    Kwa upande wangu sijawahi hata kufikiria kumsaliti ana kila kitu nnachohitaji upendo kujali heshima kwa kila mtu si mlevi inshot ana %99 ]ya vigezo vyangu halafu hata hiyo moja sijui nimemnyima ya nini na kwa upande wake sijawhi hata kuhisi anajitahidi kuweka mazingira ya kuaminika nipo huru...
  5. ommy gm

    Kwako kipimo cha mke bora ni kipi?

    Hajakulia usukumani amelelewa na mama kaskazini achana na kupiga hata kufoka hawezi kwa hiyo huwa sitamani hata kumkwaza Uongo dhambi sina ex sababu alinianza nikiwa kidato cha pili akanioa baada tu ya matokeo ya kidato cha 4 niliolewa mapema ]
  6. ommy gm

    Kwako kipimo cha mke bora ni kipi?

    Mtoa mada kama tuna fanana vile hayo ndo maisha yetu na mme wangu mpaka leo july 27 tunatimiza mwaka wa nane sijaweza kula kabla hajafika nyumbani atanitaarifu nile kama atachelewa ila najikuta tu namsubiri tunaishi maisha ya kawaida ila tunajionaga matajiri sababu ya amani iliyopo ndani kwetu...
  7. ommy gm

    7 Types of prostitutes

    Ukiskia yalaaaa ujue kuna lililompata
  8. ommy gm

    Mwanaume una faida gani kwenye ndoa?

    Nampa pole mwanamke mwenzangu mke wako mpende heshima inakuja automaticaly lakini ukijifanya mbabe anakudharau sana kimoyomoyo
  9. ommy gm

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Ni heri kweli sababu sijahi jutia pamoja na umri mdogo niliokua nao
  10. ommy gm

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    This can happen when you have your best friend as your wife/husband
  11. ommy gm

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Uko fasta 💃💃💃
  12. ommy gm

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Waah sisi wala hatujawahi kuwa serious na maisha tunaishi kama washkaji tunananiana vyovyote pengene labda sababu hatupishani kiumri watoto mpk muda mwingine wanetu wanatuita kwa majina yetu sorry kama umeipa uzito ila sisi hua utani mwingi inategemea tu na ulipoutelea
  13. ommy gm

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Na mpaka leo ndo hivyo hivyo anakula kimasihara vina raha yake some times
Back
Top Bottom