kweli kabisa hata mimi naunga mkono.anayetafsiri ana kuwa comediani kwenye maelezo yake na watu wanafurahia kisicho cha kweli.unaposhusha hadhi ya muvi za wengine basi muvi za tanzania zitashuka ubora zaidi
Hello wadau,
Mimi ni kijana umri miaka 40.natamani nijifunze kutengeneza simu hapo baadae nifungue ofisi yangu inshaalah!
Naomba mwenye kunipatia ruhusa kujua hilo kiundani idea ya sayansi ninayo wala usisite kunitafuta inbox.
Angalizo: najiamini nitaweza, najiheshimu pia
Kuhusu malipo wala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.