Lizabon
Habari ndiyo hiyo siyo swala la wivu ni utaratibu na vigezo na masharti wanaotakiwa ni 450 tu. na si kwamba wanaozidi wote ndiyo guarantee ya kuwapata wapiga kura la hasha
Wapendwa wanaJamvi,
Natumaini chama cha CCM, kitazingatia idadi ya wadhaminiiliyowekwa kwa kila mkoa kwamba ni wadhamini 30 tu na kwa mikoa 15 inafanya wadhamini kuwa 450.
Maana naona Wanaowania Kuingia Ikulu, wanajifurahisha na kujiridhisha na kututangazia idadi kubwa ya wadhamini waliowapata...
tunapima jeshi letu kwa kulinganisha na nchi gani jamani, wenzetu hawaonyeshi zana zaonza kijeshi kiasi hiki huu c ulimbukeni, wanajeshinwetu wenyewe wanavitambi
NI WALEWALE MLIOTUMWA
YAANI WEWE UMEJIUNGA JAMII FORUMS TAREHE 15-11-2013 NA LEO UJE NA HOJA KAMA HIZI SI MTU WA KUTUMWA WEWE????? HAHAHAHA KAZI MNAYO VIBARAKA WA MAGAMBA NIMEONA MNABADILISHA SANA ID ZENU KUNA MTU AMEJIUNGA TAREHE N15-11-2013 LAKINI ANAHOJA LUKUZI ZA KUTAKA KUICHAFUA CHADEMA...
YAANI WEWE UMEJIUNGA JAMII FORUMS TAREHE 15-11-2013 NA LEO UJE NA HOJA KAMA HIZI SI MTU WA KUTUMWA WEWE????? HAHAHAHA KAZI MNAYO VIBARAKA WA MAGAMBA NIMEONA MNABADILISHA SANA ID ZENU KUNA MTU AMEJIUNGA TAREHE N15-11-2013 LAKINI ANAHOJA LUKUZI ZA KUTAKA KUICHAFUA CHADEMA MUANGALIENI WAJAMENI...
Mwambie apunguze mawazo ni kweli unapokuwa kwenye stres za kifamilia sex performance. Na kama ana chuki na mke wake aache atafute upendo na kumpenda mkwewe. pia afanye mazoezi ya kutosha na kula vyakula vyenye vitamin e vinavyoongeza sperms production kamj vile karanga, korosho, atumie pia asali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.