Taifa letu pendwa limekuwa na timu kadhaa za taifa katika michezo mbalimbali miongoni mwao ni za soka, mpira wa kikapu ,riadha, kuongelea na kadhalika.Mara nyingi timu za soka zimekuwa zikipewa majina mbalimbali, kuanzia ile timu ya wakubwa ya wanaume Taifa stars, Twiga ya wanawake, kuna...