Mh zitto ni mmezaji kama wamezaji wengine na vile vile ni MTU wa kiki katika Ahadi zake kumi na tano katika manispaa ya kigoma ujiji hajatekeleza lolote hivyo basi ameshindwa kubeba ndoto za wanakigoma na sasa wanakigoma wamepoteza imani naye kwa kuwa si mkweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.