Jambo la kwanza laini zinakuwa na 4G au 5G ivo kinachokuwa na MBPS ni kifaa unachotumia na Mode uliyoweka.
Pia hii ni laini ila inakuwa ni kwaajili ya internet ivo aina SmS wala Calls. Unaweza kutumia kwenye router, pocket wi-fi au simu pamoja na vifaa vingine
Imeongezwa speed ivo ina higher...
Unatumia Normal simCard ambayo ina 100%, tafuta Laini ya M2M ina 0% data depression, so kama una GB1 unaweza download kitu cha GB1 mpaka kika complete.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.