Jaman nimejaribu nimeshidwa. Naomba kupata kujua kuusu juuu ya kudownload apps kwenye laptop au app gan inayo weza kudownload apps zingine iwe kama play store. Msada kwa hili
Naombeni. Kujua na kuuliza. IPI ni window bora kwa PC ya Duo2 pia RAM 2GB
Swali LA pili. No hatua zipi za kufata wakat wa kushusha window 8 kuweka window 10 msaada jaman
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.