URAIS RAHISI!
1.1 Kuna mambo yanisuta, njia ya kukwepa sina,
1.2 Nguvuze zinanivuta, niwanene hawa wana,
1.3 Cheo wanokitafuta, japo huwezo hawana,
1.4 Nusura wakikipata, mjuwe nchi hatuna,
1.5 Urais si kupeta, kazi rahisi hauna.
2.1 Chonde chonde tutajuta, tukidhihaki amana,
2.2...