Recent content by Omari Makoo

  1. Omari Makoo

    Plot4Sale Shamba la miti ya Mikalebeya linauzwa

    Itatakiwa kusubiri kwa miaka 6 yaani mpaka itimie miaka 10
  2. Omari Makoo

    Plot4Sale Shamba la miti ya Mikalebeya linauzwa

    Shamba lina ukubwa wa Hekari 2 Lina miti 1000+ Miti ina umri wa miaka Shamba lipo Mwanza, Ukerewe Bei yamba pamoja na miti yote iliyopo kwenye shamba ni shilingi milioni tisa na laki tano(9,5000,000) Tu.
  3. Omari Makoo

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Mara zote huwa mnajibu hivi ila hamfanyii kazi
  4. Omari Makoo

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Kwa maskitiko makubwa kabisa leo naandika hapa,baada ya Tanesco Morogoro kushindwa kupeleka surveyor katika nyumba ambayo fomu yake ilijazwa na kukabidhiwa tangu 29/06/2021. Niliwa-dm last time mkasema mtafanyia kazi lakini mpaka Leo hakuna surveyor aliyepata. Hata siku surveyor akipita maana...
  5. Omari Makoo

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Kwa maskitiko makubwa kabisa leo naandika hapa,baafa ya Tanesco Morogoro kushindwa kupeleka surveyor katika nyumba ambayo fomu yake ilijazwa na kukabidhiwa tangu 29/06/2021. Niliwa-dm last time mkasema mtafanyia kazi lakini mpaka Leo hakuna surveyor aliyepata. Hata siku surveyor akipita maana...
  6. Omari Makoo

    Deni la Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu

    Hivi hii taarifa inayoenea kuwa deni linaloonekana kupungua kwenye salary slip ni tofauti na uhalisia uliopo kwenye database ya HESLB ina ukweli? Tupeni uzoefu kwa mliowahi kuomba Loan statement kutoka HESLB. Na kwa wale waliomaliza deni la bodi,je Bodi waliendelea kukata pesa baada ya deni...
  7. Omari Makoo

    Msaada: Namna ya kuandikishiana mkataba wa bodaboda

    umar.makoo@gmail.com na Mimi naomba
  8. Omari Makoo

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Habari,Leo mafundi wa Tanesco wamefanikiwa kuja na kutengeneza meter yetu lakini Imebakia clear tamper codes za kuweza kumalizia tatizo...wamesema tuwasiliane na makao makuu ili mtupatie codes za kuclear tameper....Naomba mtusaidie kwa hili jamani.Tumekaa bila umeme kwa muda mrefu luku number Ni...
  9. Omari Makoo

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Ukerewe Ni kisiwani na igogo Ni Mwanza mjini hivyo no relationship
  10. Omari Makoo

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    T Tunakaa kiza angali sababu za kukaa na umeme zipo
  11. Omari Makoo

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Jamaani toka ijuma iliyopita yaani sio hii ya jana
  12. Omari Makoo

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Inaonekana Kama meter imetamper ....Tumetafuta suluhisho kutoka kwenu lakini mpaka Sasa hakuna msaada.Nipo Ukerewe Mwanza,namba ya simu 0756262899
  13. Omari Makoo

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Nipo Ukerewe Mwanza Namba ya simu Ni 0756262899
Back
Top Bottom