Recent content by om acidic

  1. om acidic

    Wazee wa Betting mmeona mwenzenu Hanscana ameliwa Milioni 7.5?

    Kampuni gani lina laghai wa hivo?
  2. om acidic

    Kwa aliyewahi kuugua ugonjwa wa herpes, tuelimishe unakuwaje

    dah asante mkuu kidogo ww umenitia moyo asee make sometime nawaza isije kua umeme sema mapele yenyewe yamekaa kama vijituta flan (matuta madogo madogo kiasi)
  3. om acidic

    Kwa aliyewahi kuugua ugonjwa wa herpes, tuelimishe unakuwaje

    nimekula mtoto wa kike siku kama nne zimepita afu baada ya siku mbili naona mapele pele yanaota sehemu zangu za siri asee (kwenye v*z ) ndo dalili yenyewe hiyo ninaona nina wasiwasi hatari
  4. om acidic

    Kwa aliyewahi kuugua ugonjwa wa herpes, tuelimishe unakuwaje

    nielekeze dalili zake mkuu😥 nimekula mtoto wa kike siku kama nne zimepita afu baada ya siku mbili naona mapele pele yanaota sehemu zangu za siri asee (kwenye v*z ) ndo dalili yenyewe hiyo ninaona nina wasiwasi hatari
  5. om acidic

    Kwa aliyewahi kuugua ugonjwa wa herpes, tuelimishe unakuwaje

    nahisi nimeukwaa sio kwa dalili hz
  6. om acidic

    Biashara ya sauna

    Nataka nifungue sauna , kwa mjuvi wa mambo naomba anipe vifaa vitakavohitajika pamoja na gharama zake
  7. om acidic

    Milioni 50 nihamie Dar Kariakoo kibiashara au kwenda China

    Hili swali kujibu wameshindwa kabisa wamekalia tu manufacturing industry inalipa ... maybe jaribu kuzalisha misumari ankoo
  8. om acidic

    Tatizo la laini kuacha kusoma nikiwa naperuzi intaneti au nafanya matumizi mengine ya simu

    Zote hizo apo juu bado imekataa laini inajipoteza bado tu
  9. om acidic

    Tatizo la laini kuacha kusoma nikiwa naperuzi intaneti au nafanya matumizi mengine ya simu

    Habari wana JF, Nilichukua simu samsung s21 ultra hz used from dubai kama miezi 2 hv imepita ipo frexh sehem zote sema kimbembe kwenye laini aloo. Ninaweza kuwa naongea na simu au sometime nacheza gem afu ghafla tu laini inaacha kusoma naambiwa no simcard na laini imo afu kusoma tena mpaka mda...
  10. om acidic

    Laini kuacha kusoma ghafula tu nikiwa katikati ya kuperuzi intaneti au hata matumizi mengine

    Habari wana JF, Nilichukua simu samsung s21 ultra hz used from dubai kama miezi 2 hv imepita ipo frexh sehem zote sema kimbembe kwenye laini aloo. Ninaweza kuwa naongea na simu au sometime nacheza gem afu ghafla tu laini inaacha kusoma naambiwa no simcard na laini imo afu kusoma tena mpaka mda...
Back
Top Bottom