Recent content by olfactory

  1. O

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wanataka haki bila wajibu, watoe darasa kwa umma.

    Kuiba kura, kusingizia watu kesi za uhaini na ugaidi, kuteka, ufisadi na kuua wanao kukosoa ni utawala wa sheria?.
  2. O

    JamiiForums Tanzania Utafiti wabaini Watu wengi wamepunguza kufanya mapenzi (Ngono) licha ya ongezeko la Uhuru wa Kingono

    Sijasema ni ugonjwa wa zinaa. Ila kinacho nishangaza nikicheza dry tu, imoooooo.
  3. O

    JamiiForums Tanzania Utafiti wabaini Watu wengi wamepunguza kufanya mapenzi (Ngono) licha ya ongezeko la Uhuru wa Kingono

    Tatizo ni U.T.I mkuu, kila ukigusa imooooooooo.
  4. O

    JamiiForums Tanzania Ni lini Heche atajiuzulu kupisha uchunguzi?

    Ajiuzulu kwanza Samia, apishe uchunguzi. Unadhani kati ya Heche na Samia nani akijiuzulu Nchi itapiga hatua kimaendeleo?
  5. O

    JamiiForums Tanzania Mwanaume asiye na Pesa hukosa mvuto ndani ya Jamii

    Huo mvuto unamuongezea nini mwanaume?
  6. O

    JamiiForums Tanzania Mavunde: Mtanzania anaweza kumnyang'anya ardhi Mchina leo ndani ya Beijing kama akitaka

    Hakuna mtu hapa, limevimbiwa hili.
  7. O

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wasira: Kila siku Lissu anaweka mapingamizi, ndio maana inachukua muda mrefu

    Sokwe chizi limeugua kichaa, tabu tupu.
  8. O

    JamiiForums Tanzania Mwanaume akifumaniwa, mwanamke anaambiwa asamehe eti wakalee familia ila Mwanaume anaambiwa amuache mwanamke na Si asamehe alee familia?

    Kutokana na misingi ya mila za kiAfrika mwanamke ni bidhaa, ananunuliwa jumla na reja reja, anakuwa mali ya mtu. Mke wa mtu anamilikiwa na mwanaume, sasa anachepukaje halafu asamehewe?.
  9. O

    JamiiForums Tanzania Wanaume leo nawapa ukweli mchungu: Hakuna mwanamke asiye na mchepuko

    Hao ni wanawake wa ukoo wenu. Mbwa kala mbwa, mbele kwa mbeleee.
  10. O

    JamiiForums Tanzania Je, una utaratibu wa kuhudhuria nyumba za Ibada?

    Baada ya october 29, 2025, imebainika nyumba za ibada ni chache sana, nyingi zinasimamiwa na wachumia tumbo tu.
  11. O

    JamiiForums Tanzania Hivi nyinyi mnaowachangia wanasiasa matapeli wa CHADEMA huwa mnaakili za kawaida kama zetu mbona Mimi sielewi wakuu au ni kukosa elimu ya fedha?

    Usitupangie, wewe unataka tuwe tunamchangia hiyo bibi ako tu!
  12. O

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Asasi za Kiraia (AZAKI): Serikali ya Tanzania imeilipa kampuni ya BGR Group Tsh. Bilioni 7.886 kuisafisha taswira ya nchi

    Hapo ndio utajua tuna safari ndefu kama taifa. Sio chawa wala vyombo vya habari watazungumzia hili swala. Kwani paschal na Tla×2 wanasemaje?
Back
Top Bottom