Recent content by olfactory

  1. O

    JamiiForums Tanzania Taarifa ya Rais Samia kuwa na likizo ya siku 90 si ya kweli

    Hakuna cha maana hapo, akiwa kazini na asipo kuwa kazini hakuna tofauti.
  2. O

    JamiiForums Tanzania Siku hizi husikii madawa ya kulevya/Dhahabu kukamatwa Airport

    Tutakamataje biashara zetu wenyewe?
  3. O

    JamiiForums Tanzania Kihongosi: Ni Ngumu kujua anayeteka Watu Nchini, Vyombo vya Ulinzi vikibaini vitaleta Taarifa, Wananchi waripoti taarifa

    Dhamana ya ulinzi kwa sasa ipo juu ya mtu binafsi, sio viongozi haramu wala polisi wote hawaaminiki.
  4. O

    JamiiForums Tanzania Kuzuia No Reforms No Election tubadilishe sheria tuwe kama Singapore?

    Kwa akili hizi hatuna muda mrefu tutaanza kuwindana kama swala.
  5. O

    JamiiForums Tanzania Askari Polisi: Polisi ni kitu chako cha ukweli ukwelii, anayemchukia Polisi ni kama unajichukia Mwenyewe

    Imebaki kidogo tutaanza kuwatenga. Wasipobadilika tutakuwa tunawahiana tu.
  6. O

    JamiiForums Tanzania Kwanini Rais Samia habinafsishi wala kuuza bandari ya Zanzibar na Uwanja wa ndege wa Zanzibar?

    Hana uchungu na rasilimali za bara.
  7. O

    JamiiForums Tanzania Polisi Tanga: Askari Mwita alifariki kwa Kujinyonga, Uchunguzi unaendelea

    Tutafika tumechoka sana. Huo mwili ndugu wangeurudisha tu huko huko kituoni.
  8. O

    JamiiForums Tanzania Nimekuta SMS za jirani kwenye simu ya mke wangu

    Nyaturu na bado unaomba ushauri, jiongeze mkuu.
  9. O

    JamiiForums Tanzania Kwa nini wanaume wenye maisha duni ya kawaida wanajali sana bikira?

    Nyie mnataka mwanaume mwenye pesa, wao wanataka bikira. Kila mtu apambane na hali yake.
  10. O

    JamiiForums Tanzania Zandaani kabisa: Hesabu za 2030

    Acha kumfananisha Magufuli na vitu vya hovyo hovyo.
  11. O

    JamiiForums Tanzania Tumeng'atwa na mbuzi

    Kazi ipo, mbuzi jike mwenye mapumb.u
Back
Top Bottom