Wameandaliwa mazingira mazuri ya uwekezaji, pia wananufaika vizuri na rasilimali zilizopo wakisaidiwa vizuri na watawala kumiliki na kuvuna vilivyomo, mf wamaasai wanaohamishwa huko serengeti.
Hili ni shamba la bibi, tena kipofu.
Itasaidia nini kama bado tutaendekeza ufisadi, rushwa, kujuana, matumizi mabaya ya ofisi, utekaji n.k
Wenzetu hata kama kunachama kimoja wanajua kuwajibishana, kusimamia serikali na niwazalendo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.