Recent content by olfactory

  1. O

    Inakuwaje wageni wanaipenda Tanzania kuliko wazawa?

    Wameandaliwa mazingira mazuri ya uwekezaji, pia wananufaika vizuri na rasilimali zilizopo wakisaidiwa vizuri na watawala kumiliki na kuvuna vilivyomo, mf wamaasai wanaohamishwa huko serengeti. Hili ni shamba la bibi, tena kipofu.
  2. O

    PostGE2025 UCHAMBUZI: Maswali 10 Muhimu Kuhusu Ripoti ya Tume ya Jaji Chande

    The end justifies the means. Jaji na masikio yake kama tembo, amethibitisha kuwa yeye na mahakama zilizopo zinauwezo mdogo sana wa kusimamia haki.
  3. O

    Heri uishi na mke mchafu au mwenye kiburi?

    Bendera ya chuma, mlingoti wa chuma.
  4. O

    Huyu ndio John Heche

    Hahahaaaaa, muandiko wakike kabisa huu.
  5. O

    PostGE2025 Tume imetambua vifo 518 wakati wa maandamano ya Mo29. Wamekiri, watatokaje?

    Tufanye ni kweli, je miili yao iko wapi?
  6. O

    Je, uteuzi wa Balozi wa Ghana mwenye asili ya Kiasia unaonesha kuwa Waafrika ni wabaguzi zaidi kuliko hata walowezi?

    Wewe itaje Nchi moja tu inayopatikana Asia inayoweza kumchagua mtu mwenye asili ya Africa kuwa balozi.
  7. O

    CHADEMA ni marehemu anayetembea ambaye anatafuta kaburi la kuzikwa

    CHADEMA ni fikra mbadala, utakufa wewe na ukoo wako lakini fikra hizi zitadumu milele.
  8. O

    John Heche: Hizi ni kodi na ushuru wa serikali kwa gari ndogo tu Crown

    CCM NA WANACCM WOTE NI KIKWAZO CHA MAENDELEO YA NCHI HII.
  9. O

    Watu 6 wakamatwa kwa kutuhumiwa kumuua Askari Arusha. Walimshambulia wakidhani ni mwizi

    Kwa sasa ni ngumu kutofautisha kati ya askari, mwizi na mkabaji. Huyo ni mwizi tu kama wezi wengine.
  10. O

    Mbunge Seleman Kokoso: Serikali iongeze tozo kwenye mawasiliano ya simu ili kusaidia kujenga barabara

    Kushauri serikali ipunguze posho na mishahara yao hawezi. Wananchi ndio waongezewe tu mzigo. Mafuta kuongeza bei, kwenye umeme tozo!.
  11. O

    Siikubali CCM kwa namna wanavyoendesha nchi ila Sina Imani na mpinzani wake CHADEMA

    Kwa ufupi, bado unawaamini sana CCM pamoja na mapungufu waliyonayo!.
  12. O

    Hakuna mwenye uwezo wa kuandamana nchi hii baada ya show ya October 29 Heche Acha Utapeli

    Mbona inaonekana wewe unawasi wasi kuliko Heche!.
  13. O

    Afrika ondokeni kwenye mfumo wa Vyama Vingi

    Itasaidia nini kama bado tutaendekeza ufisadi, rushwa, kujuana, matumizi mabaya ya ofisi, utekaji n.k Wenzetu hata kama kunachama kimoja wanajua kuwajibishana, kusimamia serikali na niwazalendo.
Back
Top Bottom