Recent content by Oleni

  1. O

    JamiiForums Tanzania Madhara ya shinikizo la damu

    Baada ya vipimo kadhaa pia amegundulika na minyoo mikali ya Amoeba je inaweza ikachangia hali hiyo, kwa mujibu wake yeye hakuwa anajua dalili za amoeba ila alisema amekuwa akipata kinyesi chenye vitu kama makamasi mara moja moja takriban ni miaka 3.
  2. O

    JamiiForums Tanzania Madhara ya shinikizo la damu

    Baada ya vipimo kadhaa pia amegundulika na minyoo mikali ya Amoeba je inaweza ikachangia hali hiyo, kwa mujibu wake yeye hakuwa anajua dalili za amoeba ila alisema amekuwa akipata kinyesi chenye vitu kama makamasi mara moja moja takriban ni miaka 3.
  3. O

    JamiiForums Tanzania Madhara ya shinikizo la damu

    Nnashukuru sana kwa huu ushauri dokta ntafanya hivyo. Ahsante sana.
  4. O

    JamiiForums Tanzania Madhara ya shinikizo la damu

    Nashukuru sana ntafanya hivyo
  5. O

    JamiiForums Tanzania Madhara ya shinikizo la damu

    Ni wazo zuri sana ntajitahidi kufika Muhimbili
  6. O

    JamiiForums Tanzania Madhara ya shinikizo la damu

    Ana umri wa miaka 19 mwanaume na hospital alpewa dawa za kupunguza mapigo ya moyo kwani alpimwa presha ikawa 149/90, ila kama unavyojua hosptal za serikal unaandikiwa tu dawa bila ushauri. Mkuu tatizo ni hbp kwan hicho kiharusi kimekuja baada ya presha.
  7. O

    JamiiForums Tanzania Madhara ya shinikizo la damu

    Mdogo wangu amekuwa akisumbuliwa na tatzo la mapigo ya moyo kwenda mbio kumbe ni Hbp. Na mpaka sasa imemuathiri upande mmoja kama kiharusi japo sio completely kwan anaweza kufanya kazi kama kawaida ila ni dhaifu na jicho la upande mmoja linapunguza uangavu afu ni zito kufumbua. Naomben ushauri...
  8. O

    JamiiForums Tanzania Dalili zisizoeleweka Msaada plz

    ntajaribu mkuu
  9. O

    JamiiForums Tanzania Dalili zisizoeleweka Msaada plz

    nashukuru mkuu mimi nilimpeleka Mwananyamala, ila kuingia muhimbili naona ni mpaka uwe na barua kutoka hospitali hucka au kuna uwezekano mwingne
  10. O

    JamiiForums Tanzania Dalili zisizoeleweka Msaada plz

    Nina mdogo wangu kwa muda mref amekuwa na dalili kama za kisukari, miguu mikono sehem za uso nashingo huwa znakufaganzi yaani akijishka anajiona very soft na pia mapigo ya moyo humwenda mbio then mishipa ya damu huwa inakaza na macho yanapoteza uangavu. Nilimpeleka hospital akapimwa Hb...
  11. O

    JamiiForums Tanzania Kukojoa mara kwa mara kunatokana na nini?

    osmosis kivipi hebu fafanua
  12. O

    JamiiForums Tanzania Kukojoa mara kwa mara kunatokana na nini?

    Hivi ni kipi kinachosababisha watu wenye kisukari kukojoa mara kwa mara? Na je kuna kitu kingne kinaweza kusababisha hali hiyo?
  13. O

    JamiiForums Tanzania Njia sahihi ya kupima KISUKARI

    ahsante ntatafuta daktari mwngne. Hivi hii diabetes type 1 kama syo ya kurith, sasa inasababshwa na nin haswa mpaka pancreas kushndwa kutoa insulin, je ni vyakula ama?
  14. O

    JamiiForums Tanzania Njia sahihi ya kupima KISUKARI

    nashukuru mkuu kwa ushauri wako.
  15. O

    JamiiForums Tanzania Njia sahihi ya kupima KISUKARI

    Nashukuru kwa ushauri wenu maana mdogo wangu ana dalili hizo kama kubanwa mkojo mara kwa mara, kuwa na numbness mwilini lakin amepimwa hii mara ya tatu anaambiwa ana 4.8, 4.6 na 4.9 halafu wanasema hyo haina matatizo. Kinachoniumiza kichwa ni kwamba ukoo hauna historia ya kisukari, yeye si...
Back
Top Bottom