Nina mdogo wangu kwa muda mref amekuwa na dalili kama za kisukari, miguu mikono sehem za uso nashingo huwa znakufaganzi yaani akijishka anajiona very soft na pia mapigo ya moyo humwenda mbio then mishipa ya damu huwa inakaza na macho yanapoteza uangavu.
Nilimpeleka hospital akapimwa Hb >12mm/dl, pia na RBSugar ikawa 4.6 wakasema hyo hamna tatizo wakampa dawa za kupunguza mapgo ya moyo na Neuro supporter but stil tatizo bado lipo nikauliza hapa jf wakaniambia kwny vpimo kuna false negative na false postive hivyo tukarudia tena kumpima sukari ikawa 4.8.
Jaman nnaomba msaada nin chakufanya maana cjui pakuanzia naomba mnijuze ni maradh gan yanaweza kuwa chanzo cha haya.
Nilimpeleka hospital akapimwa Hb >12mm/dl, pia na RBSugar ikawa 4.6 wakasema hyo hamna tatizo wakampa dawa za kupunguza mapgo ya moyo na Neuro supporter but stil tatizo bado lipo nikauliza hapa jf wakaniambia kwny vpimo kuna false negative na false postive hivyo tukarudia tena kumpima sukari ikawa 4.8.
Jaman nnaomba msaada nin chakufanya maana cjui pakuanzia naomba mnijuze ni maradh gan yanaweza kuwa chanzo cha haya.