Mkuu ninaomba nisaidie kuwatambua baadhi ya hayo Majina Hapo wengine mbona hatuwajui?
Ninawajua
Oleleshwa
Olesosopi
Tito
Hawa wengine siwafahamu naomba msaada wa kuwafahamu viongozi wangu wa Bavicha.
acha umbea wewe mnaa mbona hata mimi ni mgombea wa kata ya Sombetini au umetumwa uje umfanyie kampeni huyo Lesikar, alafu unadanganya aliwahi kuwa Cdm akafukuzwa wanachama ili ccm imwamini kwa hili sio? Acha kudanganya watu mwehu wewe!
wewe utakuwa ulienda Simanjiro ingine Simanjiro yetu hakuna Sehemu wanaita Ndidu, Nairero ama argasape, hiyo itakuwa Simanjiro ya Rwanda na Siyo ya Tanzania ninayo ijua mimi!
Mkuu najua wewe ndo Oleleshwa Ofisi ya Orkesmet unayosemea ndo ile nyumba ya mama yake Millya? Na nasikia yeye ndo mwenyekiti wa chama Wilaya, alafu wanachama watoto wake, mgombea ubunge first Born!
Mambo yanazidi kupamba moto Wilayani Simanjiro, tunapoelekea uchaguzi mkuu 2015 jimbo la Simanjiro linaonesha kuwa jimbo lenye ushindani mkubwa kushinda Majimbo yote, tayari kuna Majina kadhaa ambayo yanatajwa kuwepo kwenye kunyang'anyiro cha Ubunge Wilayani Simanjiro ni pamoja na Lenganasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.