Hakikisha mwanamke anakupenda ndo uoe ndoa ni tasisi nyingine kabisa ukiweka urembo kwenye ndoa utachambia mawe.
Huyo binti ushamharibia mipango yake hiyo laana utaishi nayo ukimuacha hivyo kama anakupenda mchukue huyo
Unaowapenda watakuacha kila baada ya muda anaekupenda atakuvumilia kila shida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.