Ni takribani siku nane sasa toka Katibu Mkuu wa CCM Ndgu Abdulrahaman Kinana aanze ziara yake Mkoani Arusha..
WanaCCM wote wanatambua na kuthamini jitihada anazofanya Kinana katika kuhakikisha kuwa Chama chao kinarudi katika misingi yake kutokana na ziara zake alizozifanya yapata Nchi nzima...
Kuelekea miezi ya uchaguzi mengi yameendelea kujitokeza na wenye kutamani kufika pale alipo JK wameendelea kutafuta mbinu mbalimbali za kuweza kushawishi wapiga kula wao.
Asubuhi napita kusalimia katika ofisi za Umoja wa Vijana ambako ndiko ninako wajibika ghafla nashangaa kuona Katibu wangu...
Barua hii ndiyo inayokatisha kiherehere cha Mwigulu Nchemba eti Sokoine wa Pili.
Mwigulu ulishauriwa mapema kwamba jasiri haachi asili Mtela Mwampamba alikuwa mpinzani na upinzani ndiyo asili yake. Wako strategically na Shonza wake.
Sasa wewe ukaona ndio wanaokufaa unawatanguliza Mikoani...
Ndugu Mangula Salaam;
Haikuwahi kutokea mimi kukuandikia barua ya namna hii hivyo kwa kuanza kwanza nimshukuru Mungu kwa afya na uzima wako mpaka leo. Lakini pili nimshukuru Mhe. Prof. Jakaya Mrisho Kikwete kwa uungwana, utu wake na mapenzi yake kwa Chama na hata kwako binafsi kiasi cha kuona...
Katika uongozi wa Taifa lolote lile duniani na katika kuhakikisha kuwa mtu analinda utu wake na heshima yake na vile vile analinda watu wake na kuhakikisha wanaishi na kubaki katika amani waliyozoea hakuna kiongkzi yeyote anayefikia hatua ya juu ya mamlaka akakubali kuondoka akaacha gumzo katika...
Wadau salaam;
Hivi majuzini kwenye taarifa ya habari asubuhi nilibahatika kumwona Mkuu wa Mkoa aliyehamishiwa Mwanza akitokea Arusha akitoa maelekezo baada ya kuripoti Mwanza.
Kama kawaida yake Mulongo na mbwembwe zake zisizo na tija alionekana akiwaagiza baadhi ya viongozi wa Wilaya ya...
Asalaam Alekhum Warakhmatulai Wabarakatum;
Katika miezi hii na mwaka tunaoutazamia kumekuwa na maneno mengi, hisia nyingi na matamanio mengi hasa katika kambi mbali mbali za wale wanaojitadi ama kunadiwa kuutaka uongozi.
Naandika haya kwa uchungu sana hasa nikizingatia namna ambavyo Vijana...
Salaam;
Katika Siasa zetu hapa Nchi hasa nikivilenga Vyama hasimu vya CCM na CHADEMA kumekuwako na namna tofauti tofauti kati yao katika kufanya siasa zao Nchi na na kufikisha ujumbe wao kwa Wananchi.
CHADEMA wamekuwa muda mwingi hasa nyakati za kampeini wakitumia CHOPPER wakiamini ndiyo...
Hata ungekaa kimya kungekusaidia vile vile kuliko huu upunguani na ujuha uliokuja nao...... Kama Baraza kuu halijajadili Unaibu tupe majibu Balozi Seif Ally huo Unaibu kautia wapi??
Lakini pili Kingunge huo Ukamanda kahalalishiwa vipi??
Uko nje ya Uwanja wewe si sub waka resev hujui...
Kutoka Dodoma;
Pamoja na kutumia zaidi ya Milioni 50 Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa CCM linaloendelea Dodoma Limemkaata kwa kauli moja Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Mizengo Pinda.
Pinda kakataliwa kuwa Naibu Kamanda wa Vijana Bara huku kwa upande wa Zanzibar Balozi...
Heading yako na concept ni vitu viwili tofauti...... Sasa hayo ya Hotelini na Kwa baba Askofu kunapeleke aje siye kuamini kuwa kadharau Kamati ya Mangula.....
Leo vile vile alikuwa Mahenge andika pia na hilo. Acheni kumfanya Mungu awaze kama ninyi. Na mjaribu kushirikisha akili zetu na yale...
Salaam;
Kama kawaida yake Rais Jasiri na asiyemumunya maneno leo kazungumza mengi sana wakati akihojiwa na Runinga ya Citizen kwa njia ya simu.
Rais Msataafu Benjamin Mkapa alikuwa akihojiwa juu ya kifo cha Rais wa Zambia Hayati Michael Chilufya Satta aliyefariki leo huko jijini London.
Mkapa...
Stori zile zile, watu wale wale, staili ile ile, kwa mtu yule yule...........
Ngoyai kwa kweli mpaka huu mwaka uishe utakuwa umeumiza watu vichwa sana na wengine wanaweza wakaparalise kabisa........
Isaya kaandika na tazama kila neno litakalolenenwa juu yako halitafanikiwa na kila silaha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.