Recent content by OLD SCHOOL

  1. O

    Rwandair yagiza q400 brand new frm canada kutua kgl tar 7

    Sisi TZ:shock::shock::shock::shock: wao Kigali:israel::smile-big::israel::smile-big: na itafika muda tutazamia pande zao maana wanaenda kasi kiuchumi kuliko maelezo pia ni wazalendo haswaa
  2. O

    Togolani Mavura ateuliwa kuwa msaidizi wa JK - Hotuba

    Kaaaaaaaazi kweli kweli...
  3. O

    Togolani Mavura ateuliwa kuwa msaidizi wa JK - Hotuba

    Hapo kwenye hiyo picha huyo kimeo wa kwanza wa kuitwa Mindi Kasiga naye kapata ulaji kama Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali baada ya kuwa Afisa Habari kwenye Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani nafasi ambayo mpaka sasa hakuna aliyekaimu pia hakuna mapungufu ya aina yoyote kwa...
  4. O

    Godfrey Mgimwa ‘aishukia’ CHADEMA kwa sera za kibaguzi na kumchafua

    Ukuti ukuti wa nazi wa nazi*2 Ingia upepo wa mtetema,Ingia upepo wa mtetema... MAGAMBA mbona wanajuta kuikanyaga hii miwaya ya huyu dogo huku wananchi wakiwa na hasira mbayaaaa, KALENGA ni ya CHADEMA tena mchana kweupeeeeeeee:israel::israel::israel::israel::israel::israel:
  5. O

    niko fit

    Hatareeeeeeee...:shock::shock::shock::shock::shock:
  6. O

    Posho ya 300,000/- kwa siku kwa kila Mjumbe wa Bunge la Katiba ni kubwa!

    Kali na kubwa zaidi ni kuwa kuna mjumbe kaenda na mkewe(mjumbe)... Kikubwa ni posho ndio inayowatia wazimu
  7. O

    Mganga Wa Diamond Platinumz Yuko Matatani

    This is NONSENSE 100%... Yaani wewe mtoa mada upo sawa kweli kwenye huo ubongo wako au..!!!? Sioni mantiki yoyote ile kwa kuushabikia huu upuuzi kabisa na bila shaka unahitaji kubadilika japo jua nalo limeshakuchwa loooooohhh..!!!:disapointed::disapointed::disapointed::disapointed::disapointed:
  8. O

    Madaktari na miandiko yao....mh

    Aaahahahaaahaa asante mkuu maana naona una utani na hawa kina Uli...ka majanga!
  9. O

    Mtikila: Hili bunge la katiba limejaa wahuni na washenzi sijawahi kuona toka tupate uhuru

    Akili zako zimefikiri sana tu na kuamua kuandika huu UOZO wako hapa jamvini na hii inamaanisha kuwa umeshafikia tamati hivyo basi kwa niaba ya Great Thinker wanaojielewa kama mimi... Nasema hivi ni kuwa tumeshakusamehe kabla hata haujaandika huu upuuzi wako, kaoge ukalale.
  10. O

    Nimeshangaa sana! Eti kuna Chama kinaitwa CHAUSTA?

    Hivi vyama vingine yaani hata havijulikani vipo kwa ajili ya kumtetea nani zaidi ya matumbo yao tu, Tuwaepuke kama UKOMA...
  11. O

    Hongera Mheshimiwa rais Kikwete kupaisha uchumi Tanzania

    Shikamoo mtoa mada Toothpick! Japo mimi ni mkubwa kwako kiumri lakini nimefurahishwa sana sana na bandiko lako pia nimesononeshwa sana kwa kuwa ulichokiandika ni kiswahili fasaha lakini kutokana na uvivu pia kukurupuka kwa wanaojiita wasomi huku wakiwa hawajitambui KUTOKUKUELEWA hata robo ya...
  12. O

    CHADEMA watoa siku tatu kwa Rais Kikwete. Nape asema Rais hatafuta kauli bali ataongeza nguvu

    Mnashangaza sana nyie wa**mbe masurufu wa Lumumba kwa kushabikia huu ----- wa Amiri Jeshi mkuu wa nchi wakati kuna vyombo vya dola ambavyo wanalipwa... Tunateswa na kundi dogo mnooo la wakoloni weusi kutokana na ubwege wa kutumiwa kwa baadhi ya vijana wenzetu kama hao wanaotetea uovu
  13. O

    Yanayotokea hapa Dodoma nje na ndani ya bunge katika bunge la katiba kwa leo

    Mkuu kwa haya maswali ni kama tulikuwa tunafikiria sawa... Anyway nasubiria majibu kwa hamu kubwa:whistle:
  14. O

    Hapa wapi? zawadi inatolewa

    Tema mate niwachape...lol
  15. O

    CHADEMA wamtangazia vita Spika Makinda

    Haya kachukueposho yako L...M^A
Back
Top Bottom