Ukitaka kuowa pendelea kuowa mtu wa kabila lako au yale makabila yanayoenda Kitabia na kabila lako.
Mmakonde kwenda kuowa mchaga ni shida au mpemba kwenda kuowa muhaya ni tatizo kubwa
Dini ya kiislam imefundisha vizuri hili suala kuowa
Kama wewe unashangaa wanaume wa Zanzibar kwenda sokoni kukunua chakula cha family yake basi na mimi pia nashangaa kuona wana wake wa bara nakwenda bar kunywa pombe!!!
Waazilishi wengi wa hizi timu wameshafariki Kutona na mambo ya anasa na ujana kwa mfano pombe, dawa za kulevya, hiv/aids na waliopo wengi wao ni watu wazima age ya 60s plus 70s
Mashoga wanaongezeka sababu kanisa katoliki mumeamuws ku-promote ushoga mukiacha ushoga utakufa!!!!!
Alipangalo mungu hatuwezi kulipangua, mungu kapanga jinsia 2 ya kike na kiume, kuowana na kupata mapenzi na huruma!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.