Kwa Maoni yangu, kwenye hizi nchi tano za Afrika Mashariki tulizopakana nazo hapa nadhani Tanzania ndiyo inayoongoza kwa kua na viongozi wa juu dhaifu
sina maana mbaya lakini nachomaanisha yaani kwanza hawana uelewa na mambo mengi sana, wako shallow
Hawaeleweki hata walifikaje hapo, yaani...
mfano wa ovyo, japo lengo lako ilikua kutisha watu.
Nikuulize, duniani hakuna watoto waliofiwa na mama zao na bado bado wakatumia maziwa ya kopo, maziwa ya ng'ombe n.k na wamekua vyema na kustawi..?
Kama jibu ni ndiyo, ziwa pekee halitoshi kusignify ya kwamba mtoto akilikosa atakufa.
Kuna...
roho mbaya tu inakusumbua, kila mwanadamu kwenye ulimwengu huu ana watu wake wa karibu, na watu wanaomkubali, si ajabu hata kiongozi wa serikali kama mwanadamu kuwa na watu wake wa karibu, ama watu wanaomkubali
Ukipunguza chuki kwa watu usiowajua, utafika mbali😀
Ukitulia vizuri ukachambua mambo ya siasa na wanasiasa kwa jicho la tatu, utagundua Tanzania ina uhaba wa wanasiasa wenye utulivu.
Lakini kila nikimuona Simbachawene naiona future iliyo bora kabisa kwa ustawi wa nchi yetu.
Namsihi aendelee hivyo hivyo, unaweza kuwa mtulivu na mwenye hekima na...
Pole sana brother
Fanya yote ila asitoe mimba, unaweza kupata consequences kuliko hizo unazozikimbia, assume akableed mpaka akafa, huo msala utauweza..?
mwambie asingizie mtu yeyote wa mkoa wa mbali, maana si lazima aliyempa mimba awe wa maeneo hayo, then wewe chini kwa chini utakua unalea
mkuu sina maana mbaya, ni vile tu mimi mtu akiongelea kuhusu kutoa uhai wa mtu yeyote, namtreat tofauti kabisa, hata kama mtu huyo amefanya jambo gani baya, uhai hua ni wa Mwenyezi Mungu,
pole kama umekwazika brother
Bwana mkubwa hayo mambo ni ya kawaida, unataka nani anisemee, hizo corrections zako pia ni minor sana, haziathiri lengo la uzi,
by the way lengo ilikua kumuonesha popoma kua asitishie watu maisha sababu ya kujiona knowledgeable sana, dunia ina watu wa kila aina
hapa tunaongelea vipaji si bahati brother, kua pole
yeye kulipwa mara mbili yako inategemea wewe unalipwa kiasi gani, ikulu mbona kuna watu wana mishahara ya kawaida tu brother, ama kinachokuchanganya ni yeye kua pale😀
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.