Recent content by Okk

  1. O

    Tanzania ingekuwa na Strong Vetting, Samia asingekuwa Rais na Mwigulu asingekuwa Waziri Mkuu

    Kwa Maoni yangu, kwenye hizi nchi tano za Afrika Mashariki tulizopakana nazo hapa nadhani Tanzania ndiyo inayoongoza kwa kua na viongozi wa juu dhaifu sina maana mbaya lakini nachomaanisha yaani kwanza hawana uelewa na mambo mengi sana, wako shallow Hawaeleweki hata walifikaje hapo, yaani...
  2. O

    Wakosoaji na Wapinzani kumbukeni nchi ni kama ziwa la mama zenu, mtakapoliua nanyi mtakufa pia

    mfano wa ovyo, japo lengo lako ilikua kutisha watu. Nikuulize, duniani hakuna watoto waliofiwa na mama zao na bado bado wakatumia maziwa ya kopo, maziwa ya ng'ombe n.k na wamekua vyema na kustawi..? Kama jibu ni ndiyo, ziwa pekee halitoshi kusignify ya kwamba mtoto akilikosa atakufa. Kuna...
  3. O

    Wapinzani kwa ujinga huu hamtaiongoza nchi hii mpaka Yesu arudi. Abadani

    jina tu linakukosesha uhalali wa kukemea lolote ukiwa neutral, awamu hii ikiisha unabadili tena ID, kua chawa ni kazi kweli kweli
  4. O

    Simbachawene ni presidential material, atunzwe na alindwe kwa wivu mkubwa

    roho mbaya tu inakusumbua, kila mwanadamu kwenye ulimwengu huu ana watu wake wa karibu, na watu wanaomkubali, si ajabu hata kiongozi wa serikali kama mwanadamu kuwa na watu wake wa karibu, ama watu wanaomkubali Ukipunguza chuki kwa watu usiowajua, utafika mbali😀
  5. O

    DOKEZO Mtandao wa kifamilia ulivyoteka sekta ya uingizaji wa magari Japan - Tanzania

    Detailed information, umepiga kwenye mshono🙏
  6. O

    Simbachawene ni presidential material, atunzwe na alindwe kwa wivu mkubwa

    Ukitulia vizuri ukachambua mambo ya siasa na wanasiasa kwa jicho la tatu, utagundua Tanzania ina uhaba wa wanasiasa wenye utulivu. Lakini kila nikimuona Simbachawene naiona future iliyo bora kabisa kwa ustawi wa nchi yetu. Namsihi aendelee hivyo hivyo, unaweza kuwa mtulivu na mwenye hekima na...
  7. O

    Nimempa mimba mwanafunzi, natamani kuitoa

    Pole sana brother Fanya yote ila asitoe mimba, unaweza kupata consequences kuliko hizo unazozikimbia, assume akableed mpaka akafa, huo msala utauweza..? mwambie asingizie mtu yeyote wa mkoa wa mbali, maana si lazima aliyempa mimba awe wa maeneo hayo, then wewe chini kwa chini utakua unalea
  8. O

    Huyu Gentamycine ni wale jamaa tulikua tunawakimbiza class halafu hawataki kukubali

    mkuu sina maana mbaya, ni vile tu mimi mtu akiongelea kuhusu kutoa uhai wa mtu yeyote, namtreat tofauti kabisa, hata kama mtu huyo amefanya jambo gani baya, uhai hua ni wa Mwenyezi Mungu, pole kama umekwazika brother
  9. O

    Huyu Gentamycine ni wale jamaa tulikua tunawakimbiza class halafu hawataki kukubali

    Bwana mkubwa hayo mambo ni ya kawaida, unataka nani anisemee, hizo corrections zako pia ni minor sana, haziathiri lengo la uzi, by the way lengo ilikua kumuonesha popoma kua asitishie watu maisha sababu ya kujiona knowledgeable sana, dunia ina watu wa kila aina
  10. O

    Huyu Gentamycine ni wale jamaa tulikua tunawakimbiza class halafu hawataki kukubali

    hakuna ubaya mkuu, ni mfano tu kaka mkubwa😀
  11. O

    Huyu Gentamycine ni wale jamaa tulikua tunawakimbiza class halafu hawataki kukubali

    hapa tunaongelea vipaji si bahati brother, kua pole yeye kulipwa mara mbili yako inategemea wewe unalipwa kiasi gani, ikulu mbona kuna watu wana mishahara ya kawaida tu brother, ama kinachokuchanganya ni yeye kua pale😀
Back
Top Bottom