Recent content by Ohanes

  1. Ohanes

    Mahakama Kuu yamtambua Prof. Lipumba kama Mwenyekiti halali wa CUF

    Tunachezea sana Imani za watanzania, Tasisi zetu zinatumika kuvuruga demikrasia ya nchi yetu
  2. Ohanes

    Mahakama Kuu yamtambua Prof. Lipumba kama Mwenyekiti halali wa CUF

    Vyovyote ilivyotendeka, iwe mahakama imetenda haki kwa kuzingatia sheria au iwe imeelekezwa na mamlaka zinazomwelekeza mtungi nini cha kufanya juu ya chama chochote cha siasa lakini madhara ya hukumu hii ni kuaminisha umma kuwa nchi hii vyama vya upinzani havihitajiki na alie kinyume na chama...
  3. Ohanes

    Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

    Pole sana, lakini ni mhimu kuelezea mkasa mzima ili usaidie wengine kuepukana na hilo pepo ulilokumbana nalo
  4. Ohanes

    Kuitwa kwenye interview

    Siku hizi mashirika yamegeuka kutangaza huku wakiwa na vimemo viunoni,, nadhani watakuwa wameshawafyekelea ,mbali
  5. Ohanes

    Mkeo/Mpenzio mpe mkito ya kibabe!

    Hahahaha!!! Ingieni chemba mlizane yote
  6. Ohanes

    Nimefall kwa mwanadada maarufu wa jf

    Mbele pana Miba
  7. Ohanes

    Ccm & viongozi wa dini hawatakwepa hukumu km mapendekezo ya wananchi ndani ya rasmu ya 2 yatapuzwa

    Ni dhahili tulipofika sasa maoni ya wananchi ndani ya rasmu ya pili ya katiba yamepuzwa na ccm, wamejaribu kudanganya umma ila uongo wao wote umeshindwa kunyamazisha kilio cha watanzania maskini na wanyonge wa nchi hii, pasipo kujali ccm wamendelea kudhalau maoni ya watanzania ili mradi mradi...
  8. Ohanes

    UKAWA na Wanaharakati, Vyombo vya habari vs Tanzania kwanza na wananchi, Viongozi wa Dini, Wasomi

    Viongozi wengi wa dini ni wafanya biashara tu kupitia mgongo wa dini,,jukumu kubwa la kiongozi wa dini ni kutokuwa mnafiki, awe ni msema kweli asie mungunya maneno, asiwe wa kufanya mambo ya kujipendekeza kwa watawala ambao wanapuza maoni ya wananchi wao,,nchi hii viongozi wengi wa dini hawana...
  9. Ohanes

    Siri ya Msajili wa Vyama Jaji F. Mutungi kumzuia Mbowe kugombea yaanza kuvuja

    Huyu Jaji asipojiepusha na hizi mbinu za kuminya na kuzuia mabadiliko chany yanayoelekea kutokea ndani ya taifa hili lililo ndani ya dimbwi la uongozi mbove basi ajiandae kuingizwa ktk vitabu vya kihistoria kama mtu aliefacilitate kusambaratisha mageuzi chanya kwa vizazi ya Tanzania,,namsihi...
  10. Ohanes

    Jaji Joseph Warioba ajitosa kunusuru Mchakato wa Katiba

    Mzee Waryoba analijali taifa lake,,Lakini kundi la wana CCM wanfikiria ulaji madaraka tu,,katiba haiwezi patikana kwa hali ilivyo sasa na hata ikilazimishwa itakuwa mbovu na kandamizi kuliko katiba zote duniani.
  11. Ohanes

    Mh. Nimrod Mkono na hatma ya ukulima wetu Musoma vijijini

    Awali ya yote wanajamvi kwanza niwashukuru kwa michango yenu ya kifikira na ya kusahihisha wanasiasa wetu,,Japo wengi wenu hasa ambao si wenyeji wa jimbo langu inaweza kuwa ngumu kidogo kuelewa mada hii mhimu na inayogusa na iliyoathiri maisha yetu sote katika jimbo hili maskini na lisilokuwa na...
Back
Top Bottom