Recent content by OGUNDHA

  1. OGUNDHA

    Afande Sele: CHADEMA Morogoro walitaka Milioni 30 ndio nigombee Ubunge

    it is right time to contest with the part that he believe to have the kind of democracy he is looking for so that people can know whether what afande claims to be the truth or its our normal blaa blaa.
  2. OGUNDHA

    Kazi za Kiongozi Mkuu wa ACT-Tanzania

    zzk =mbowe ndo maana walishindwana wote ni wapenda madaraka na wamiliki wa vyama
  3. OGUNDHA

    Nape: Ukifukuza Mwendawazimu tupa na makopo yake

    kila chenye mwanzo hua na mwisho mwisho wa nape na wanaomtuma kuropoka umefika, acheni :A S-cry::A S-cry: kwa mara ya mwisho mwisho
  4. OGUNDHA

    OFFICIAL: Prof Jay kugombea Ubunge jimbo la Mikumi kupitia chama cha CHADEMA

    acha kufanya vitu kwa mazoea mkuu things do change and people do differ as well, kua sehemu ya mabadiliko ya kifikra na sio sehemu ya kudidimiza fikra endelevu.
  5. OGUNDHA

    CHADEMA wakata tamaa Urais, sasa kujiimarisha kwenye ubunge

    Mwenzio komba alisema hayo hayo ...zam yako yaja
  6. OGUNDHA

    Kinachoifanya CHADEMA ipoteze mvuto na ushawishi kwa wananchi hiki hapa

    Bora ukose mali upate akili kidogo tu!
  7. OGUNDHA

    Niionavyo Tanzania miezi michache ijayo

    Time will tell
  8. OGUNDHA

    Dr Slaa kufikishwa Mahakamani!

    Waende tu
  9. OGUNDHA

    Wenje awatuhumu wajumbe wa kundi la 201 kuhongwa!

    Lakini maghembe si amekiri?
  10. OGUNDHA

    Barua ya wazi kwenu Mbowe, Mtatilo, Lissu na Jussa

    Kuondoka sio jibu waendelee tu kupambana na mbinu chafu
  11. OGUNDHA

    Hongera Tundu Lissu Hongera Ismail Jussa;

    Jaman tujuzeni bhana kunani?
  12. OGUNDHA

    Tanganyika imerudi

    Ndiyo Tanganyika irudi
Back
Top Bottom