Recent content by offset Frankie

  1. O

    Tunaokutana na changamoto za uhakiki wa Vyeti vya Kuzaliwa kutoka kwenye e-Service za RITA

    c cqcqcccg sccccccqccqcccwcccccccqcqcccwwscqwxocqao scqwxocqacccccq
  2. O

    Tunaokutana na changamoto za uhakiki wa Vyeti vya Kuzaliwa kutoka kwenye e-Service za RITA

    c cqcqcc good wccqcq cwccew sccccccqccqcccwcccccccqcqcccwwscqwxocqao scqwxocqacccccq
  3. O

    Nimejitafuta kwenye kubeti mpaka nimechoka

    achana na betting hizo ni roho za umasikini na ufukara hakuna tajiri au millionea amewahi tajirika kwa kubeti. Kama Betting imekuwa uraibu wako nguvu ya kuacha kwa akili zako ni ngumu sana unahitaji msaada wa kiroho ili uepukane na hizo roho. Yesu pekee anaweza kukutoa huko ukimkabithi maisha...
  4. O

    Historia ya Yesu siyo halisi ilibuniwa na watu tofauti tofauti

    Ndugu simba Mpole maandiko yako yechambuliwa na mtu asiyekuwa na uelewa dhabiti na biblia au neno la Mungu maana hiyo mistari ulioiquote ni just a tip of iceburg ambapo huwezi ona ukubwa wa iceburg ulioko chini ya kile kinachoonekana. yaani namaanisha kwa ku quote mistar miliwi au mitatu bila...
  5. O

    Car4Sale Suzuki vitara new model bei ya kutupwa

    wanunuaji walio serious wameshanifata inbox vya kutosha wewe uliye kaa kukosoa kila kitu si mnunuzi
  6. O

    Car4Sale Suzuki vitara new model bei ya kutupwa

    Nauza suzuki vitara namba D gar bado mpya tangu imeagizwa toka japan haijatembea sana Gari ni ya mwanamke ni manual sababu za kuuza: ni manual transmission yeye anataka automati Location: Moshi mjini mawasiliano 0657662776 serious buyers karibuue e to eeeeweervvv v
  7. O

    Hivi kuna maisha baada ya kifo?

    nani kwakuambia death is a cut off. swali tunapoenda kuifadhi mwili tunasema huu ni mwili wa flani flani huyo flani yuko wapi?. ufike mahali muelewe mwanadamu is more than a body. unasema huu ni mwili wangu wewe uko wapi hapo
  8. O

    Hivi kuna maisha baada ya kifo?

    sijabisha nimejibu kutokana na maelezo ya aliyetoa hii comment overal kabla hujazaliwa ulikuwa wapi?. au umetokea tu yaani kwa Kubeti kwamba kuna mtu amebeti grace atokee mara boom huyu hapa si ndio? out of more than a million sparms?. mtu abeti chance yakutokea grace ambaye sperm iliyobeba...
  9. O

    Hivi kuna maisha baada ya kifo?

    kinachokufa ni nini?...
  10. O

    Hivi kuna maisha baada ya kifo?

    kabla hujaangaika kukielewa kifo lazma utambue wewe ni nani?. na kinachokufa ni nini?.
  11. O

    Hivi kuna maisha baada ya kifo?

    sijasema kunaulazima wowote ila kabla hujahoji hiyo nguvu fulani imekujaje hoji hivi unavyoviona into existence vimekujaje?. kwa bahati mbaya sindio?
  12. O

    Hivi kuna maisha baada ya kifo?

    kwahio unataka kusema maisha ww umeyapata kibahati tu. maisha yamekuja tu into existence?. all that misteries jinsi wanyama mimea na wadudu wanavyomanuver life iwe imekuja tu. take time and study habits mbali mbali za wanyama na wadudu all that genius master piece itokee tu from nowhere...
Back
Top Bottom