Murashani GALACTICO
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,205
- 4,702
Wapendwa kama title inavyojieleza hapo juu. Nimekutana na changamoto ya kuthibitishiwa cheti cha kuzaliwa cha mdogo wangu. Hapo mwanzo majibu ya uhakiki yalichelewa.
Tuliwapigia bila mafanikio kwa muda mrefu. Tulikuja wapata kwa njia ya simu kuwaeleza kulikoni mbona majibu yamechelewa wakasema tuwe na subira. Imefika sehemu majibu yamekuja ila tumeletewa uthibitisho kupitia cheti cha mtu mwingine tofauti na mdogo wangu.
Nimejaribu kuwapigia na maelekezo waliotupa tumeyafanya kama kuwatumia cheti husika kwa njia ya email bado hawashaghukia tatizo hilo positive.
Msaada kwenye tuta wajuvi wa hii mambo na namna naweza fanya. Nataka nitimbe ofisini kwao maana hapa wilaya nilipo wananipiga chenga hakuna hata kompyuta ya kushulikia tatizo naona nao wazugaji tu.
Tuliwapigia bila mafanikio kwa muda mrefu. Tulikuja wapata kwa njia ya simu kuwaeleza kulikoni mbona majibu yamechelewa wakasema tuwe na subira. Imefika sehemu majibu yamekuja ila tumeletewa uthibitisho kupitia cheti cha mtu mwingine tofauti na mdogo wangu.
Nimejaribu kuwapigia na maelekezo waliotupa tumeyafanya kama kuwatumia cheti husika kwa njia ya email bado hawashaghukia tatizo hilo positive.
Msaada kwenye tuta wajuvi wa hii mambo na namna naweza fanya. Nataka nitimbe ofisini kwao maana hapa wilaya nilipo wananipiga chenga hakuna hata kompyuta ya kushulikia tatizo naona nao wazugaji tu.