Sisi huku Mbande Mbagala kuna marundo ya taka zimerundika eneo la Tinyango haijulikani zitasombwa lini na nani. Pia barabara iendayo zahanati na shule ya Mbande taka taka sasa zimesambaa barabarani na haijulikani hatima yake
Nini Ulimwengu aliyekuwa Dc mbona hata hayati Austin Kapele Shaba ambaye alipata kuwa waziri wa wizara mbali mbali hivyo si ajabu kwa mh Zito bali tuache serikali ifanye kazi yake
Sikubaliani na taarifa kuwa Charles Jullius Nyerere " Makongoro " ni mtoto wa tatu kwa kuzaliwa katika familia ya Mwalimu. Nadhani kuna wakubwa zake kama Andrew , Anna , Emil Magige na John . Naomba kusahihishwa
Lazima utakuwa ----- kufikiria wanaosikiliza mikutano wote ni lazima wawe wa Chama chako acha hata wengine wasikilize ili wavutiwe na sera zako. Huo ndio ustarabu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.