Ukisoma vizuri matamshi ya Musyoka ni kwamba anaweza kuwa mgombea mwenza ikiwa itatokea. Lakini ktk siasa lolote linaweza kutokea ili mtu aweze kufikia malengo yake, kwa ODM na WDP kuungana si jambo geni ktk siasa. Tuwatakie kila heri
Sina uhakika sana na hayo uliyoyasema kuhusu freemason pamoja na casino maana kabla ya ujio wa vyama hivo vitu vilikuwepo jariau kujenga hoja yenye mantiki
Sawa mkuu, hii ndiyo Tanzania tunayoishi lakini hatujui kinachoendelea ila tumebakia kulalamika bila kufanya mabadiliko. Kwa kuwa wanasiasa wanajua vile Watanzania ni wasahaulifu, basi watafanya kila wawezalo kutunyonya hadi tone la mwisho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.