Recent content by odera kogelo jr

  1. O

    Introducing The Coalition for Reform and Democracy (CORD)

    Ukisoma vizuri matamshi ya Musyoka ni kwamba anaweza kuwa mgombea mwenza ikiwa itatokea. Lakini ktk siasa lolote linaweza kutokea ili mtu aweze kufikia malengo yake, kwa ODM na WDP kuungana si jambo geni ktk siasa. Tuwatakie kila heri
  2. O

    Kikwete anataka kuwaambia nini wanawake?

    Jinsi ya kiume inatumika kuonyesha uimara wa jambo au chombo . Katika hali ya kawaida huwezi kutumia jinsia ya kike kusifia
  3. O

    Sasa nahama CCM

    Sina uhakika sana na hayo uliyoyasema kuhusu freemason pamoja na casino maana kabla ya ujio wa vyama hivo vitu vilikuwepo jariau kujenga hoja yenye mantiki
  4. O

    NYARAKA: Madudu mengine ya William Mhando ndani ya TANESCO

    Sawa mkuu, hii ndiyo Tanzania tunayoishi lakini hatujui kinachoendelea ila tumebakia kulalamika bila kufanya mabadiliko. Kwa kuwa wanasiasa wanajua vile Watanzania ni wasahaulifu, basi watafanya kila wawezalo kutunyonya hadi tone la mwisho
Back
Top Bottom