Mimi nasoma chuo mar ya pili coz nyingin nishafanya kaz somewhere.nilivyomaliza chuo mara ya kwanza kuna siku niliota nimeajiriwa na kweli zikapita siku chache baada ya kupeleka barua ya maombi ya kazi nikaajiliwa,nimefanya kazi kuna siku nikaota nipo shuleni na wezangu tunasoma, na saizi kama...
Nilishamwambia ivi kwanini nakuota wewe kila siku kuna siku alinipulizia upepo mkali ili nisisome nilale,ilikuwa ivi nililala badae nikaamka lakini haikuchukua sekunde nikalala tena nikaona amechukua shuka kanikung utia uson mara moja ile kama ya kukupepea iyo ilikuwa ya pili naix hii ya nne sio...
Nipo shule naishi mazingira ya hosteli chumba chetu tupo watatu,lakini kwanini kila nikilala naota huyu mmoja ananichezea? Nakuwa namwona kwa macho nikiwa kwenye njozi.
Jana nikaota kuna kitu ananidondoshea kama chenye maji upande wa bega huku nikiwa nimelala yeye analala kitanda cha juu Mimi...
Kuna topic moja ya evolution of theory.kuna theory 3 classical approach,behaviour theory,contingence and scientific system ivi kati ya izi which is suitable to apply in the organization for nowadays?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.