Habarini,mimi ni mwanafunzi niliyehitimu mwaka huu kozi ya ya uhandisi wa magari(degree) na nina GPA ya 2.8,, ndoto zangu siyo kufanya kazi Toyota au Scania au kampuni kubwa za magari, ila nataka na nina passion ya kuwa Tutorial Assistant wa chuo.
Sasa naombeni ushauri,ninawezaje...
Sijajua sifa za extrovert. Mimi sipendi kuongea na simu, napenda ku chat. Naongea tena kwa kujiamini, nikiamua. Mara nyingi napenda kusikiliza na kukaa kimya. Sipendi mazoea ya hovyo na watu wengi. Sina rafiki ila nipo peace na watu wote.
Bro Mshana, najua huo uganga na vitu vingine yalikuwa ni mapito tu, si nasikia kuna waganga wanaotenda haki? Sasa kwa nini uliacha? Uganga unafanya vipi usiwe mtu wa Mungu? Miti si ililetwa na Mungu au?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.