Moses Kuria huyu ni Gatundu South MP amesema Raila kujiapisha ni uwazimu labda ajiapishe aende kwa bibi yake sio State. Kujiapisha ni kosa kikatiba ya Kenya hukumu ni kifo.
Msanii Ruby ameonyesha kufurahi sana baada ya mzungu kutoka italy akiimba wimbo wa ruby akapela uitwao na Yule. Rubby amepost akionyesha kufurahia sana. Wazungu wa Italy waliupokea vizuri sana wimbo huo hata na wengine kuimbaimba na kupost videos kuonyesha upendo kwa msanii huyo. Hii ni moja ya...
Mama kanumba afunguka Jinsi Wema Sepetu alivyofaa kuolewa na kanumba kwa kuwa alikuwa mstaarabu na alikuwa akivaa kiheshima sana alipokuwa akimtembelea. shilawadu walimuuliza atajisikiaje wema sepetu akimtembelea Lulu gerezani?.
Asema inakuwa vigumu kwa watu maarufu kama wasanii kushindwa kuoa kwasababu wanazungukwa na Wasichana warembo kila mara na kutaka kupakua kila amuonaye. kwa mfano kanumba hakupanga kuoa. Pia amesisitiza mwanaume kuwa na mtoto ni Heshima kwa mfano ray anamtoto anaitwa baba fulani sasa hivi japo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.