Nimemwombea mdowangu nafasi ya kujiunga na certificate ya medical asistance kama ilivyokuwa imetangazwa na wizara ya afya, lakini nashangaa mpaka sasa post hazijatoka xo sielew serikari imeahirisha kuchukuwa watu wa fani hiyo au? msaada katika hili jamani!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.