Recent content by obert

  1. O

    Vitabu vizuri vya hesabu o level

    habari wanajamvi naomba msaada wa vitabu vizuri vya hesabu kwa o level na waandishi wa vitabu hivyo
  2. O

    Msaada kuhusu mashine za max malipo wakuu

    Necta,tra ,dawasco
  3. O

    Nampenda lakini

    Nina mchumba ambaye nimedumu nae miaka minne likini bado natamani wanawake wengine,nifanyeje?
  4. O

    Wizara ya Elimu yaja na mpango wa kushusha alama za ufaulu kuingia Form Five!

    Mm 2007 nilichaguliwa kidato cha tano nikiwa na 1 ya point kumi na tano lkn kwenye kombi niliyochaguliwa nilikuwa na physics D,biology C na chemestry C,sasa ni graduate nakula bata kwa kitaa
  5. O

    Majina ya walimu wapya wenye shahada haya hapa

    Tunatumia visimu vya tochi
  6. O

    Msaada wa Kuangaliziwa matokeo

    Naomba mwenye mapenzi ya dhati aniangalizie jina hili Steward mushi kapangwa wapi, diploma. Kasimu kangu hakasomi pdf.
  7. O

    Fedha za kujikimu ajira mpya

    Naomba mniangalizie jina hili STEWARD MUSHI kapangwa wapi jamani,msaada naomeni
  8. O

    Mapaja meupe yote nje....Lol

    Ningekuwa mm napiga chabo mwanzo mwisho
  9. O

    hivi inawezekana wakuu

    Mm nijuavyo hawa jamaa huwa wanafuatilia historical background ya shule ulizo soma,ww umesoma shule zote za private kwa hiyo wana ashume unaweza kujilipia,kitu kingine kuna kozi za kipaumbele zilizoainishwa ili uweze kupata mkopo mzuri kama vile ualimu kwa masoma ya sayansi,masoma ya afya ya...
  10. O

    Serikali: Simamieni shule binafsi.

    Shule zingine hazina management nzuri kwa sababu shule ambayo ina mazingira mazuri,walimu wazuri na mambo mengine yanayotakiwa ili shule iitwe shule sioni kama kuna umuhimu wa mtoto kusoma tuition,tuition mashuleni haziruhusiwi japo sijui kifungu chochote cha sheria kinachokataza tuition cha...
  11. O

    Seminary boarding kwa waschana

    St.Fransis Mbeya
Back
Top Bottom