Mm 2007 nilichaguliwa kidato cha tano nikiwa na 1 ya point kumi na tano lkn kwenye kombi niliyochaguliwa nilikuwa na physics D,biology C na chemestry C,sasa ni graduate nakula bata kwa kitaa
Mm nijuavyo hawa jamaa huwa wanafuatilia historical background ya shule ulizo soma,ww umesoma shule zote za private kwa hiyo wana ashume unaweza kujilipia,kitu kingine kuna kozi za kipaumbele zilizoainishwa ili uweze kupata mkopo mzuri kama vile ualimu kwa masoma ya sayansi,masoma ya afya ya...
Shule zingine hazina management nzuri kwa sababu shule ambayo ina mazingira mazuri,walimu wazuri na mambo mengine yanayotakiwa ili shule iitwe shule sioni kama kuna umuhimu wa mtoto kusoma tuition,tuition mashuleni haziruhusiwi japo sijui kifungu chochote cha sheria kinachokataza tuition cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.