Habari zenu ndugu wa jf, naombeni msaada kwa mtu ambaye anajua jinsi ya kufungua bot ya kutumia kuwasajili member kwenye app ya telegram. Asante kwa msaada wako
Wadau wa JF naombeni ushauri nataka kuanzisha program ya kukopesha ela kwa wajasiriamali tu ili kuinuana kiuchumi. Kama unajua njia sahihi ya kuanzisha hiyo program, hasara na faida zake naomba unisaidie. Pia kwa mtu ambaye anayo hilo wazo naomba anitafute kwa no 0620463178
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.