Hivi karibuni mara kadhaa ninavyokuwa napokea pesa nyingi kutoka Bank (zile ambazo sio sealed) nikifika ofisini nakuta kuna pisi zinakua zinapungua
Mwanzo nilikuwa nikipata changamoto hii kwenye bundles za 10,000 na 5,000 ila karibuni hata hizi za 2,000 na 1,000
Rai yangu kwenu mnaopokea pesa...
Facts.. Ila shida itakua ni kwenye utekelezaji na hasa ukizingatia kwamba hata kwenye kampuni ya serikali (TTCL) hilo tatzo lipo.. Ila nakuombea ushindi mdau ili iwe faida kwako na Taifa kwa ujumla
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.