Hapo, unavumilia tu kwani wanaume kama sisi wenye imani za pakstani tunaruhusiwa kuoa wanawake wanne, kwa mkupuo ili mradi tu unauwezo wa kuwahudumia kiukweli,hii ni kutokana wanawake ni wengi kuliko wanaume, kama kaonesha nia basi usipoteze kinafasi.
Hata Bible inakuagiza utoe mahari kama vipi muone mchungaji wa karibu akupe huo mstari mie siukumbuki,au kama ni ngumu kutoa hio mahari angalia kama kunauwezekano wa kumuoa dada yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.