Ingia you tube angalia order of ranks za majeshi barani Africa uangalie jeshi letu ni la ngapi kwa ubora, ndo utaacha kulinganisha na majeshi Kama ya Kenya, Kongo, Ethiopia na kwingineko
Dah, kumbe mwamba kapita shule za ukweli, Sasa utamlinganishaje na mtu aliyefukuzwa seminary kwa utovu wa nidham, ikabidi akajishikize private school, no wonder hakuweza kwenda University direct ikabidi aunge unge na vi diploma vya ualim
Kinachoongelewa hapa ni huu ujinga na viherehere vyenu vya kujifanya mnampenda rais na kumchangia pesa kutoka kwenye hiyo mishahara yenu kidogo eti akachukue form za uraisi, huu ujinga umeuona wapi kwenye hizo idara zingine ulizozitaja
Nimesoma tu paragraph 2 nikagundua kosa la umri nkaachana nayo, hivi mtu aliyezaliwa mwaka 1977 Leo hii unaweazake kusema ana umri wa miaka 39, uchawa uliopitiliza
Viongozi wote huandaliwa speach hata Nyerere aliandaliwa kikubwa ni wewe unaye present hiyo speach kujua Ina mashiko kwa hadhira inayokusikiliza, kwani yeye ni robot ambaye kazi yake ni kusoma chochote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.