Askari analipwa 400,000 hapo hapo ana mkopo, huku familia inamtegemea na tulisikia siku hizi wameanzishiwa mpk kozi wanazojilipia wenyewe je tutegemee nini hapo![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hapa kunamengi yamejificha chini ya kapeti hata mtoa maada hawezi jib ndio maana hata yeye anakomaa kama ni mwizi angelikamatwa na kupelekwa ktk vyombo vya sheria, ila mtoa maada atambue mazingra yanayofaa kumkamata mwiz na kumfikisha mahakamani.
Mfano, mwizi kaja nyumbani kwako kwa lengo...
Wewe ndio unatakiwa uchunguzwe kweli kweli pengne alikuwa ni mshirika mwenzio hivyo kikosi kimepungukiwa nguvu kazi baada ya yeye kuondoka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari ndugu wana JamiiForums!
Kuna tabia imejitokeza baadhi ya mawakala wanaosajili laini za simu kwa alama za vidole kutumia gepu hilo kufyatua laini za ziada kwa kitambulisho cha mtu aliyeenda kusajili laini kwa alama za vidole bila yeye kujua. Mfano, anakuwa ameandaa laini katika simu yake...
Habari zenu wana JF,
Mimi ni mgeni humu nimekuja kwenu kuomba ushauri na mawazo yenu maana humu kuna wataalamu mbalimbali.
Mama watoto wangu ni mjamzito wa takribani miezi 8 na point na amekuwa akihudhuria kilinic vizuri kabisa.
Alitakiwa kujifungua 09.02.2019 kwa mujibu wa maelezo ya kliniki...
Huko mwanza kunasehemu inaitwa kigoto niliwahi pita pale nikakuta majumba yaliyojengwa karne ya 18 eti wanaishi askar polisi yaani majumba yamechoka ile mbaya mvua ikianza kunyesha kila siku unamuona askar anapanda juu kupanga mawe ili bati zisiondolewe na upepo ukiingia ndani utazani mabanda ya...
Ahhhhh Je kwahiyo mtu akitekwa huwa anamaeneo maalum ya kupelekwa na sio Iringa? Au mtu akitekwa lazima awekewe jeraha mm nazani uchunguzi wakina ufanyike na sio kubaki kubashiri tu
Mbona hiyo video kwangu inaonyesha huyo mkamatwaji alikuwa tayari kashakubari kukamatwa na ndio maana hata mikono yake kwapamoja alikuwa kaiweka kwenye kibamia chake hapo haikupaswa kabisa traffic kuanza kumrushia makonde mtu ambae tayari ni mateka na inavyoonyesha yote aliyokuwa anayafanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.