Ndo maana tunasema Sasa basi tumewaelewa. Tunakaa kimya kupokea maendeleo aliyoahidi magufuli kuwa Kama upinzani utaondoka, Tanzania itakuwa Kama ulaya. Tunasubiri hiyo neema. Tumeondoka muwe huru kutekekeza ilani bila kuhojiwa na mtu.
Nakuunga mkono. Tuache rusubiri tuyaone. Hata tukioiga kelele sana system yote imeoza, iko under control ya serikali hiyohiyo ya dhuluma. Nothing can change. Tuwape Uhuru kamila na nafasi wafanye walichoahidi nasi tuone tujifunze. Labda tunawachanganya.
Vimeanguka kwasababu tume ya uchaguzi ya Tanzania si tume huru Bali Ni mawakala wa CCM. Kwahiyo walihakikisha wanaina kura kwa namna yoyote ile. Upinzani ulishanda zaidi ya uchaguzi mwingine wiwote uliowahifanyika nchini tangu vyama vingi vianze.
CCM ingekuwa inakubalika kwa jinsi hii...
Kwani Sasa Lissu ameshindwa? Mbona ameshinda Sana. Mlichofanya ni kugeuza matokeo mkatangaza wa kwenu. Hilo tulilijua litafanyika kwa kuwa hamkubaliki na hili mnalijua, Magu anajua kuwa hakubaliki na MUNGU anajua. Kama mlikuwa mnakubalika, visa vyote hivyo vilikuwa vya nini? Hizo kura feki...
Hivi jamani mnaangalia TBC kutafuta Nini? Kama TV yako haina channels nyingine, si uweke movie iangalie? TBC Imeshapoteza credibility ya kuitwa tv ya Taifa.
Atii Sheria ipi? Sheria ya mwaka gani? Kumzuia kwenda kwenye kampeni zake bila sababu? Kwanini hamtumii akili zenu? Umzuie mtu haki yake, akikuuliza kwanini unadai siyo mtii wa sheria. Mnataka atii sheria ipi? Ya kumkandamiza? Hebu tumieni hekima kidogo, acheni ujinga.
Kwanini unasema ni uzishi wa CHADEMA? Kwani si kweli kuwa watu wameuwawa? Mpaka afe ndugu yako ndo aumini kuwa kuna watu wameuwawa? Kwanini CCM mnajifanya hamnazo kiasi hiki? Hivi mnadhani watu ni wapumbavu wasioelewa hayo? Nawaambia mida unakuja ambapo tutatenganisha maharage na kunde. Wala...
Lissu anashinda uchaguzi huu kwa uhakika. CCM mtakachofanya kama ilivyo kawaida yenu nikutumia mabavu kuiba kura nakujitangaza washindi. Hili halina mjadala kwani wewe Paskal unalijua, magufuli analijua na wote wanaccm mnalijua hata kama mnakata kwa nguvu zote. Hapa hakuna uchaguzi ni maigizo...
Wewe moumbavu, subiri uone. Ibeni kura muone. Usidhani mwaka juzi nisawa na mwaka huu people grow and Change.
Ibeni kura ndo mtajifunza.
Si mlizema mumeshaua CHADEMA, mkafanya kampeni wenyewe kwa miaka mitano, hii miezi miwili ya chadema ambaya na ninyi bado mpo mkitumia rasilimali zote za...
Unajua ndugu Paschal Mayalla, tunajua kwamba CCM itashinda kwakuwa hakuna haki.
Hilo liko wazi kwani hata 2015 hawakushinda bali walitumia mtido huo wakujitangaza washindi regardless matokeo halisi. Sio kwenye ballot box.
Watajitangaza washindi kwani Referree na Commissar wa match ni hao hao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.