JPM, CCM wakishinda, Freeman Aikaeli Mbowe ni lazima ajiuzulu, amwachie Tundu Lissu. Lissu aache Uanaharakati, aonyeshe Statesmanship

Pascal Mayalla punguza kebehi
Hii thumb up ni kebehi
Funny enough unaweka thumbs up seriously!
Umekosa utu kabisa
Unafurahia yaliyomkuta Lissu kupigwa risasi
Unbelievable
Unafurahi sasa mitandao imezimwa watu wanauwana wewe upo na familia yako raha tele unasubiri uteuzi ama??!
Tukutane ng'ambo ile....
Mkuu Paukwa, Pakawa, with due respect, tuko wote humu jf kwa zaidi ya miaka 10!, hujazijua tuu thumbs up zangu?.
Nakuomba sana, usiwawazie wengine mabaya, ni kama kuwahukumu na kuwanyooshea vidole, ikitokea hawana huo ubaya ulioudhania, karma ya maumivu ya ubaya unaowadhania its upon you!.
Usihukumu usije ukahukumiwa!.
P
 
Mkuu Paukwa, Pakawa, with due respect, tuko wote humu jf kwa zaidi ya miaka 10!, hujazijua tuu thumbs up zangu?.
Nakuomba sana, usiwawazie wengine mabaya, ni kama kuwahukumu na kuwanyooshea vidole, ikitokea hawana huo ubaya ulioudhania, karma ya maumivu ya ubaya unaowadhania its upon you!.
Usihukumu usije ukahukumiwa!.
P

akikupa udisii amekuona njaa

unafaa uarasii Mh.Pascal
 
Wanabodi,

Miongoni mwa vitu vinavyotukwamisha sisi Watanzania kupata maendeleo ya kweli, ni kutokusikiliza ushauri,
Leo Mwana JF, mwenzetu, mashuhuri na maarufu karibu kuliko wana jf wote all times, Mkuu Mzee Mwanakijiji, ametoa ushauri huu kwa Chadema, naomba msikilize



Kwa faida ya watumiaji wa bundle kwa budget hivyo hawezi kufungua video links na wale wenzangu na mimi wa kiwango cha uelewa wa chini kiasi cha kutoweza kumuelewa GT wa level ya Mkuu Mzee Mwanakijiji,
nawawekea paraphrased version, naomba kunukuu

"Nije kwa ndugu yangu Lissu...,
Lissu ni mtu ambaye anayeweza kuja kuwa rais wa Tanzania, hili sina shaka, sina shaka kabisa, na ana qualifications zote,
Jambo pekee ambalo amelikosa, na hii ninayo waambia, ndio sio sababu kubwa kwanini Lissu, sio tuu kwamba atashindwa, bali inampasa ashindwe, unisikilize vizuri.

Lisu atashinda, lakini pia inampasa ashindwe, nitakuambia kwa nini, kwasababu ndio utaamua upinzani wa Tanzania unaelekea wapi. Hili linalotokea leo hii, lilitakiwa litokee 2015, leo hii kuna mstari umechorwa mweupe kabisaa, kati ya CCM na Chadema, ile separation is very clear, watu wanaomuunga Lissu wapo na wanajua kwanini, na wanaomuunga Magufuli wapo na wanajua kwanini, Lissu atakaposhindwa, itaamua Chadema iende vipi 2025, ina ajenda gani?.

Na jambo la kwanza ambalo napenda kulisikia kabla ya mwisho wa wiki hii, baada ya Magufuli tuu kutangazwa kuwa rais,
(atashinda nimewaambia), (kwa msisitizo)
Freeman Aikaeli Mbowe, ni lazima ajiuzulu, amwachie Tundu Lissu chama, Lissu aijenge Chadema kwa image yake, na anataka chama cha upinzani kiende vipi.

Na nnajua (Lissu) ni mwanaharakati, na hii labda ndio weakness yake, lakini sasa ni lazima aanze kuonekana kama ni statesmanship, kuonyesha statesmanship, lazima Lissu aanze kuonekana kama kiongozi kweli wa upinzani, na hivyo aone, ni kwamba atakipokea chama hiki kabla ya mwisho wa wiki hii, na akae chini na...
mimi of course, mimi I'm always open, wakisema Bwana Ben, tunaomba uje uzungumze nasi, unatushauri vipi sasa hivi, mimi I'm very frank, mimi kwangu Tanzania ni kubwa zaidi kuliko hawa wagombea, kuliko hivi vyama vya kisiasa...


Lakini Lissu, atatakiwa aijenge Chadema, hastahili kupewe kura za pole, shukrani, hongera au asante, anatakiwa apewe kura za kuonyesha kama amekuwa kuongozi wa upinzani, na ameujenga upinzani wa Tanzania, na ana miaka 5 kuamua Chadema inakuwaje"-Mzee Mwanakijiji

Mwisho wa kunuku
My Take
Kufuatia exposure ya Mkuu Mzee Mwanakijiji, mimi naukubali ushauri huu ni ushauri wa busara sana, hivyo nawashauri wale wote wanaomkubali Mzee Mwanakijiji, na walipanga kesho wampigie kura Lissu, sasa kura hizo, waziweke akiba hadi 2025, kwa kesho, badala ya kuzipoteza kwa kumpigia mtu ambaye hata shinda, bora wampe Magufuli ambaye ndiye atamkabidhi Lissu ikule ile 2025.
Paskali

Alisikika kada mmoja wa ccm akiwapa ushauri chadema ya jinsi ya kuishinda ccm🤣🤣🤣
 
Ha ha ha hilo la Mbowe kujiuzulu sahau. Ni Sawa na mpangaji kumtimua mwenye nyumba. Lissu ajiandae kuanzisha chama chake na Amsterdam huko kwao Ubelgiji.
 
wewe ulikua mayala kwetu ni njaa, ulibinywa pumbu ukakubali tokeo ukaanza kuunga juhudi,, nani asiyekujua kama wewe ni mnafki tu sasa hivi umebakia,, hii ngoma tuachie wenyewe tutaicheza wenyewe
 
Mimi binafsi sitashiriki hiyo kesho kupiga kura. Ila ninaunga mkono mabadiliko. Watanzania Wazalendo wajitokeze kwa wingi kumchagua Mh. Tundu Antipas Lissu.

Ifikie wakati tuwe na utaratibu wa kupokezana madaraka. Haiwezekani tangu Uhuru tutawaliwe na watu wale wale, vyama vile vile na mtazamo ule ule. Mabadiliko hayakwepeki nchini mwetu.

Chagua Lissu ili kuondokana na Udikteta wa CCM na Viongozi wake.
Mko wengi Sana mnaosubiri wenzenu wakapige kura halafu Lissu ashinde.
Baada ya kura mlionyuma ya keyboard mnaosubiri wenzenu wakapige kura mtaanza kupost mfululizo kwamba mmeibiwa kura.
Mmekaa kusubiri kumjulisha Amsterdam kuhusu kuibiwa kura.
 
Magufuli atashinda kwa vigezo gani wakati watanzania wengi tumemkataa hakika??
ni kweli Magu wananchi wengi wamemkataa ila kumbuka ni mungu kwa tume ya uchaguzi ya mahera akikohoa tu mahera na kaijage wanajambajamba kwa hiyo lazima watamtangaza kuwa ni mshindi tena kwa asilimia zaidi ya 90, kingine kumbuka sisi ccm, sio tu kwamba tuna tume, bali tuna jeshi pia, tuna polisi kingine ni washirikina balaa kutoa damu na kafara za wanadamu kwa ajili ya madaraka ni sekunde tu sasa kwa vizingiti hivi nilivyotaja hamtatangazwa kuwa mmeshinda hata iweje
 
Heeeeee!! Huyu lisu anaogopewa kwanini??? Hajajenga flyover,hajajenga SGR,hajatoa elimu bure nchi nzima,hajanunua ndege za nchi nk.Lakini akisimama tu kwenye kampeni kuna watu hawana amani wakati wanajinasibu wamefanya vitu vikubwa!

Halafu hapohapo ukiwambia maendeleo ya watu ndio muhimu kuliko maendeleo ya vitu wanabisha.wekezeni kwenye watu kusaidia waboreshe maisha yao wekeni mazingira mazur ya biashara kwa kuweka Kodi zisizo umiza,wapeni watu uhuru wakujieleza nakutoa maoni kwenye nchi yao muone kama na nyinyi hamta pendwa na raia.ila mkiendelea kuwekeza kwenye vitu badala ya watu mtasubili Sana kushangiliwa labda ndege na flyover ndio ziwashangilie
Nani anamuogopa Lissu? Ngoja bado masaa machache tuu usikimbie jukwaani uone hakuna anayemuogopa huyo mbelgiji. Kura atakazopata ataona Dec 18 mbali Sana na beberu lake Amsterdam litakuwa limefura kwa hasira kwa kudanganywa.
 
Wewe na huyo mzee kijiji wako kura zenu ni 2 tu.

Hiyo 2025 wewe utakuwepo?

NEC itamtangaza mpinzani..?

Mumezoea kushabikia upuuzi na ujinga kwa maslahi yenu ya HAJA KUBWA.


THIS TIME NO BIG
 
Wanabodi,

Miongoni mwa vitu vinavyotukwamisha sisi Watanzania kupata maendeleo ya kweli, ni kutokusikiliza ushauri,
Leo Mwana JF, mwenzetu, mashuhuri na maarufu karibu kuliko wana jf wote all times, Mkuu Mzee Mwanakijiji, ametoa ushauri huu kwa Chadema, naomba msikilize



Kwa faida ya watumiaji wa bundle kwa budget hivyo hawezi kufungua video links na wale wenzangu na mimi wa kiwango cha uelewa wa chini kiasi cha kutoweza kumuelewa GT wa level ya Mkuu Mzee Mwanakijiji,
nawawekea paraphrased version, naomba kunukuu

"Nije kwa ndugu yangu Lissu...,
Lissu ni mtu ambaye anayeweza kuja kuwa rais wa Tanzania, hili sina shaka, sina shaka kabisa, na ana qualifications zote,
Jambo pekee ambalo amelikosa, na hii ninayo waambia, ndio sio sababu kubwa kwanini Lissu, sio tuu kwamba atashindwa, bali inampasa ashindwe, unisikilize vizuri.

Lisu atashinda, lakini pia inampasa ashindwe, nitakuambia kwa nini, kwasababu ndio utaamua upinzani wa Tanzania unaelekea wapi. Hili linalotokea leo hii, lilitakiwa litokee 2015, leo hii kuna mstari umechorwa mweupe kabisaa, kati ya CCM na Chadema, ile separation is very clear, watu wanaomuunga Lissu wapo na wanajua kwanini, na wanaomuunga Magufuli wapo na wanajua kwanini, Lissu atakaposhindwa, itaamua Chadema iende vipi 2025, ina ajenda gani?.

Na jambo la kwanza ambalo napenda kulisikia kabla ya mwisho wa wiki hii, baada ya Magufuli tuu kutangazwa kuwa rais,
(atashinda nimewaambia), (kwa msisitizo)
Freeman Aikaeli Mbowe, ni lazima ajiuzulu, amwachie Tundu Lissu chama, Lissu aijenge Chadema kwa image yake, na anataka chama cha upinzani kiende vipi.

Na nnajua (Lissu) ni mwanaharakati, na hii labda ndio weakness yake, lakini sasa ni lazima aanze kuonekana kama ni statesmanship, kuonyesha statesmanship, lazima Lissu aanze kuonekana kama kiongozi kweli wa upinzani, na hivyo aone, ni kwamba atakipokea chama hiki kabla ya mwisho wa wiki hii, na akae chini na...
mimi of course, mimi I'm always open, wakisema Bwana Ben, tunaomba uje uzungumze nasi, unatushauri vipi sasa hivi, mimi I'm very frank, mimi kwangu Tanzania ni kubwa zaidi kuliko hawa wagombea, kuliko hivi vyama vya kisiasa...


Lakini Lissu, atatakiwa aijenge Chadema, hastahili kupewe kura za pole, shukrani, hongera au asante, anatakiwa apewe kura za kuonyesha kama amekuwa kuongozi wa upinzani, na ameujenga upinzani wa Tanzania, na ana miaka 5 kuamua Chadema inakuwaje"-Mzee Mwanakijiji

Mwisho wa kunuku
My Take
Kufuatia exposure ya Mkuu Mzee Mwanakijiji, mimi naukubali ushauri huu ni ushauri wa busara sana, hivyo nawashauri wale wote wanaomkubali Mzee Mwanakijiji, na walipanga kesho wampigie kura Lissu, sasa kura hizo, waziweke akiba hadi 2025, kwa kesho, badala ya kuzipoteza kwa kumpigia mtu ambaye hata shinda, bora wampe Magufuli ambaye ndiye atamkabidhi Lissu ikule ile 2025.
Paskali

Mwanakijiji amefeli kabisa. Ni kweli project Lowasa ilikuwa na mapungufu makubwa, lakini anashindwa kutambua kwamba Lissu wa leo amezaliwa na udikteta na ukatili wa utawala wa Magufuli. Siasa za mazungumzo za Kikwete zilimdumaza Lissu akabakia kujiona ni mbunge tu. Lakini ubabe wa Magufuli umeiamsha GENIUS ya Lissu. Hivyo Lissu 2015 asingeweza kutamba hivi na kuungwa mkono hivi.

Ni kweli ameichonga CHADEMA na ameiamsha upya, na watanzania wameitikia. Tanzania pia ipo tayari kumpokea Lissu kama kiongozi wao, baada ya kuchoshwa na ubabe wa Magufuli. Lissu ndie mtanzania pekee mwenye uthubutu wa kumkabili Magufuli, pamoja na maguvu yake na ukali wake. Hilo halikuwepo 2015.

Kulikuwa na hoja zinajengwa kwamba ACT ndio inakwenda kuwa chama kikuu cha upinzani. Lakini Kimbunga cha Lissu pamoja na kimeo cha Membe, vimefutilia mbali ndoto hizo na sasa ACT wanakuwa washirika wa CHADEMA .

Lissu bado anamhitaji saaaana Mbowe. Na kwa kweli bila msimamo, hekima na akili za Mbowe, Lissu asingevuka kirahisi shambulio la risasi. Kwa hiyo unaweza kusema Mbowe ni mmoja wa wakunga wakuu katika kuzaliwa Lissu wa leo. Na hilo Lissu analijua, na anamheshimu sana Mbowe.

Mwanakijiji ana hangover za 2015 na anataka kupanga meza ili afunike blunder zake katika kumsapoti Magufuli kwa hasira za Lowasa kuja CHADEMA
 
Back
Top Bottom