Recent content by nzogolong'iva

  1. N

    Viongozi wa CHADEMA mtaacha lini vituko?

    Mimi si chilisosi wala tomatososi ila ni NZOGOLONG'IVA usinibatize jina lisilokuwa langu. Unashabikia namba za akina Makinda kuwekwa hadharani vipi tukiweka ya mkeo utaridhika? sema niiweke hadharani wana JF wamjulie hali shemeji yao.
  2. N

    Viongozi wa CHADEMA mtaacha lini vituko?

    Mkuu Mwakidondo hajapinga madai ya CDM wala kwa namna yoyote hajamtetea spika na naibu wake ila kahoji kuwekwa hadharani namba zao kwa lengo la kuhamasisha watu wazitumie. Vee uva wimuhonge wiliga umgosi muyago utije mkimama!
  3. N

    Profesa ama Dokta wa akili maana yake nini?

    ni kwamba hizo titles zao ni za kisomo siyo kama uprofesa wa majimarefu and the like.
  4. N

    Amani na Utulivu

    kafuata nini kwenye mkutano wa watu? watovu wa adabu ni vema wakaadabishwa on the spot.
  5. N

    Zitto,hoja yako imeishia wapi?

    Bado anacheza kwanza "leka dutigite"
  6. N

    Dr Slaa amuumbua John Tendwa

    wangetoa tu maoni yao, yanini malumbano yasiyo na tija?
Back
Top Bottom