Mimi si chilisosi wala tomatososi ila ni NZOGOLONG'IVA usinibatize jina lisilokuwa langu. Unashabikia namba za akina Makinda kuwekwa hadharani vipi tukiweka ya mkeo utaridhika? sema niiweke hadharani wana JF wamjulie hali shemeji yao.
Mkuu Mwakidondo hajapinga madai ya CDM wala kwa namna yoyote hajamtetea spika na naibu wake ila kahoji kuwekwa hadharani namba zao kwa lengo la kuhamasisha watu wazitumie. Vee uva wimuhonge wiliga umgosi muyago utije mkimama!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.