Huyo aliyesema wamasai toka nchi jirani wameingia kuzuia zoezi halafu wakashindwa wakakimbia kurudi kwao ni mjing fulani tu. Sijui aliemtuma hapa atamlipaje. Imagine nchi yenye serikali, wamasai wa Kenya waje hapa wafanye vurugu halafu warudi hata mmoja hajakamatwa tutakuwa na serikali gani...
Asante kwa ufafanuzi.
Ingefaa serikali ije na melezo kama haya kuthibitisha kuwa maeneo hayo yenye mgogorosio ardhi ya vijiji bali yametengwa kwaajili ya wanyamapori. Badala yake serikali inatumia nguvu.
Kweli hatujui alipita hapo kufanya nini. Lakini hata kama aliwachokoza, na wao wako wengi kiadi hicho kwanini wasimkamate na kumpeleka kunako sheria? Kosa lake linahalalisha unyama anaotendewa? Au mlimuamini shetani kwamba 'wapinzani walituchelewesha sana!
H
Huwezi ukamtendea mwenzio ubaya halafu uendekuomba msamaha kwa Mungu. Lazima (yaani ni LAZIMA) Kwanza umuombe msamaha uliyemkosea. Labda kuzini na mke/ mme wa mtu, huwezi kumuombea msamaha uliyemdhulumu maana italeta tafrani zaidi ktk jamii. Hiyo unatubu tu kwa Mungu.
Magufuli alifanya maovu...
Sidhani uilo jina John lina mkos. Walikuwepo mpaka Sasa tuna John wengi ambao ni watu wema. Labda majina kama pombe, magufuli, jiwe, kichaa, mzilankende etc.
Kuna mali nyingi za umma ccm walipora.
Majengo mengi ya biashara ktk viwanja vya halmashauri/serikali ccm wanamiliki isivyo halali. Walichukua viwanja wakawaambia wafanya biashara wajenge, wafanyie biashara kipindi fulani halaf baadae waendelee kulipa kodi. Majengo ya ofisi zao ktk mikoa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.