Recent content by nziga2

  1. nziga2

    CHADEMA itakufa kabla ya uchaguzi ujao

    Kweli mtoa hoja ni hoja nzuri lakini usiseme kuwa kitakufa ila kitaimarika zaidi.kwani watu wa cdm wanaamini kuwa bila ya wao yasingefanyika baadhi ya mambo mazuri yanayofanya sasa.nampongeza jpm kwa usikivu wake na kutekeleza yale aliyaadidi.pia nategemea kuwa upinzani waendele na kuikumbusha...
  2. nziga2

    Mwandishi gazeti la Uhuru acha kumtukana Mh. Lowassa

    Humu ndandi wote ni watu wenyekujitambua huu muda ni kujenge taifa na wala sio kampeni ila mtoa mada upo vizuri napenda kushauri tusipende kuwakashfu viongozi wetu kwa kuyakumbuka pologanda za kampeni tuwe na busara
  3. nziga2

    Mfumo ule ule unataka kurudi kupitia UKAWA!

    Jamani tusiwe ma myoyo dhaifu tunaki na msimamo wetu
  4. nziga2

    Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye ahamia upinzani Rasmi - Agosti 22, 2015

    Watanzania tunataka mabadiliko sio bao la mkono wakapigie chooni
  5. nziga2

    Nimezinduka naenda UKAWA

    Karibu
  6. nziga2

    Mgawanyo wa Majimbo: CHADEMA waivuruga UKAWA Mtwara

    Mm nimekusoma mtoa taarifa na hata mm napenda kusema kuwa cdm taifa wachukue hatua kwa hao wanaovunja makubaliano kwani wataalibu mabadiliko tunayo kusudia.
  7. nziga2

    Zinduka: Siasa inanunua watu, Polepole naye kanunuliwa

    Huyo hp hafai kwani wqtanzania tunataka mabadiliko ya maendeleo sio snema
Back
Top Bottom