Kweli mtoa hoja ni hoja nzuri lakini usiseme kuwa kitakufa ila kitaimarika zaidi.kwani watu wa cdm wanaamini kuwa bila ya wao yasingefanyika baadhi ya mambo mazuri yanayofanya sasa.nampongeza jpm kwa usikivu wake na kutekeleza yale aliyaadidi.pia nategemea kuwa upinzani waendele na kuikumbusha...
Humu ndandi wote ni watu wenyekujitambua huu muda ni kujenge taifa na wala sio kampeni ila mtoa mada upo vizuri napenda kushauri tusipende kuwakashfu viongozi wetu kwa kuyakumbuka pologanda za kampeni tuwe na busara
Mm nimekusoma mtoa taarifa na hata mm napenda kusema kuwa cdm taifa wachukue hatua kwa hao wanaovunja makubaliano kwani wataalibu mabadiliko tunayo kusudia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.