Huyo aliyekuambia kozi tatu yuko sahihi hasa kama nyumba ni kubwa maana ukishapiga fisherboard zinakua ziko karibu sana na madirisha (kama ni kozi mbili) na hivyo kutokuvutia sana.
Bt kama nyumba ndogo na paa haliendi sana juu basi kozi mbili ziko poa.
Sheria ya ajira na mahusiano kazini Na.6/2004 inataka makato yawe si zaidi ya 2% hiyo 4% imetoka wapi? na kumbuka kama ni wa serikali makato hayo yanafanywa na mfumo maalumu wa Lawson
Wale jamaa waliokuwa wanachora zile katuni walikua mahiri sana kwa simulizi kwakweli sasa hivi hata sijui wako wapi...kuna katuni maarufu pia kwnye jarida la Bongo nadhan sijui anaitwa Maprosso alikua na hela nyingi sana. ....hata simulizi ya kifo cha 2Pac Shakur jamaa walielezea kwa michoro as...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.