Recent content by nyuki2015

  1. nyuki2015

    Wapi alipo Maalim Seif kwa sasa?

    Ukimya wake unaweza leta wasiwasi kwa wananchi wake wakahisi ameshapokea mlungula.
  2. nyuki2015

    Uchaguzi 2020 : CCM kumpiga chini Magufuli

    Atumbue jipu la toto la mkwereh tuisome namba vizuri,
  3. nyuki2015

    CUF yamtaka Rais Magufuli kuandaa bajeti upya inayotekelezeka

    We ni pumba kabisa. Unashindwa kutofautisha chama cha wananchi cuf na huyu mwanachama wa kawaida. Kwa hiyo kila kauli toka kwa mwanachama unachukulia ni kauli ya chama? Cuf ni taasisi inayojitegemea we mbwiga.
  4. nyuki2015

    Kikosi cha kampeni cha CCM chatajwa kuongozwa na Kinana, Nape na Mwigulu ndani

    ushahidi kama upo watangulie mahakamani
  5. nyuki2015

    Myahudi wa kwanza kuswalisha Waislam

    upo dada wa PM7?
  6. nyuki2015

    Je, Lowassa akishindwa Uchaguzi ataendelea kukipigania CHADEMA, (M4C)?

    Hata mtani wangu wa msoga bado mgonjwa. Ushasahu yale ya tezi medu?
  7. nyuki2015

    TANZIA Captain John Komba afariki Dunia

    Mshumaa umezimika. Sasa hakuna uhamasishaji
  8. nyuki2015

    Katibu Mkuu wa CCM aanza ramsi ziara yake kwa usafiri wa basi Maalum

    Kuelekea october tutakukumbuka capt. J. Komba
  9. nyuki2015

    Picha: Joseph Haule (Profesa J) katika harakati za mapambano ya kulinyakua jimbo la Mikumi

    Kaza buti Mwana wa Haule ww tofauti sana na yule mwenye rasta rasta hata jinsi ya kujieleza kwa jamii. KARIBU KIDOMA
  10. nyuki2015

    Afande Sele (Seleman Msindi) ajiengua CHADEMA na kujiunga na ACT

    Afande toka cuf+cdm+act+..... Tutaona mengi mwaka huu
  11. nyuki2015

    Wanaokihujumu chama kipya cha ACT- Tanzania ni hawa hapa

    Acha uzushi Mwl. kaijage
  12. nyuki2015

    CHADEMA wamuandalia Limbu ziara za Kigoma, Tabora, Rukwa na Katavi

    KAIJAGE ANALALA ACT ILA NDOTO ZAKE ZIPO CHADEMA. mbona hao viongozi wa act hawafungui mdomo kuhusu chadema ila ww tu.
  13. nyuki2015

    Asante sana Ngeleja

    Hatupo tayari kuchagua matapeli. Wezi mwisho 2014 #2015 tunataka utawala mpya
Back
Top Bottom