Huyo ni satan mshinde kiume..kuna kitu katika mapenz kinaitwa siku kama hizi"itafika kipind utaona upendo unakuja wenyewe kama zamani...hukufanya makosa kumchagua umuoe ila unafanya makosa kutaman wengine,UPENDO UTARUDI PINDI HUYO UNAYEMTAMANI NJE YA NDOA utapomuona na mwanaume mwingine kwani...
Hivi kanisa la roman catoric linaruhusu ulevi?maana ni zaid ya mara nne nashuudia masista na mapadre wanakuja na gari la kanisa ofisin kwangu nnako uza vinywaji kwa jumla jumla kununua kreti kadhaa za bia..Hii imekaje? Naombeni kujuzwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.