bado siamini kwa kozi yetu tulichujwa kabla ya kuingia kwenye usaili baada ya usaili wakatuambia nyie ndo mliopita njooni kwenye vipomo kesho haiwezekani namba ya watu waliopigiwa simu ikawa ndogo kiasi hicho
ok mkuu leo nimepata info kutoka makao makuu niliwapigia cm w
mkuu nimepata taarifa kwa mdau mmoja amesema wanaendelea na zoezi la kuwapigia watu simu kwani wanawapigia kwa awamu jamaa aliongea nao
duh! basi kazi kwelikweli ishakula kwetu wengine nilijipa moyo kwa kua kozi yetu tulikuwa kama 200 tukapunguzwa mpaka tukafika 40 ndo tuliruhusiwa kufanya usaili na vipimo kumbe mapanga yalikuwa yanaendelea hatari sana haya mambo
wakuu tuliofanya usaili na vipimo JWTZ kwa kozi ya afya Twalipo karibuni tujuzane habari mbalimbali huku tukisubilia simu kuitwa..Allah atasaidia wote tuliopima afya tutaitwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.