Mlipimwa Tigowakuu tuliofanya usaili na vipimo JWTZ kwa kozi ya afya Twalipo karibuni tujuzane habari mbalimbali huku tukisubilia simu kuitwa..Allah atasaidia wote tuliopima afya tutaitwa
Du nyie si ndio mtakuja kuwa mnapost yanayofanyika kambini humu JF?wakuu tuliofanya usaili na vipimo JWTZ kwa kozi ya afya Twalipo karibuni tujuzane habari mbalimbali huku tukisubilia simu kuitwa..Allah atasaidia wote tuliopima afya tutaitwa
Bado maraia hayoDu nyie si ndio mtakuja kuwa mnapost yanayofanyika kambini humu JF?
Sent using Jamii Forums mobile app
wakuu tuliofanya usaili na vipimo JWTZ kwa kozi ya afya Twalipo karibuni tujuzane habari mbalimbali huku tukisubilia simu kuitwa..Allah atasaidia wote tuliopima afya tutaitwa
eti dally kimokoSasa kama tayari una UKIMWI / Dally Kimoko / Ngwengwe / Waya hiyo Simu unategemea akupigie Shangazi yako / Mjomba aliyeko huko JWTZ au?
amiin mkuu mungu ni kubwa naamini atatufanyia wepesiJeshi haliendi hivyo? Mkipiga kozi mtajua codes of ethics and conducts za hii kazi ya jeshi.MUNGU AWABARIKI MPATE AJIRA WENGI TUSAIDIANE KULINDA MIPAKA YA NCHI NA RAIA WAKE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ukienda jeshini baada ya kumaliza degree mfano nyie watu wa Afya mnaenda kupiga mazoezi ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka saluti kwa hicho cheti tu mkuu, tena huku umevaa gwandaaaa? Taratibu bandugu.Hivi ukienda jeshini baada ya kumaliza degree mfano nyie watu wa Afya mnaenda kupiga mazoezi ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umesahau na kununua koroshoJeshi haliendi hivyo? Mkipiga kozi mtajua codes of ethics and conducts za hii kazi ya jeshi.MUNGU AWABARIKI MPATE AJIRA WENGI TUSAIDIANE KULINDA MIPAKA YA NCHI NA RAIA WAKE.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] daaa Tz nchi yanguMkuu umesahau na kununua korosho