75% ya kesho ya mtoto inatengenezwa chini ya miaka 2. Mwaka 1 anakuwa anafyonza kila kitu ila hawezi kuongea na anatambua kila anachokiona ila hawezi kutofautisha kipi kibaya kipi kizuri.
Kwahiyo mwisho wa kuvaa nguo mbele ya macho ya mtoto ni miezi 6
.
Kwenye email hawajatuma kitu , angalia wanasema notion ya kuverfy kama ni mimi imetumwa kwa android yangu naangalia siioni, haka kwa kompyuta nimajaribu imegoma
Malezi na makuzi ya Mtoto yaani early childhood Education ni elimu mtambuka ..kwa ufupi wafuatao wanapaswa kupa elimu hii
1. Dada wa kazi wa kaka wa kazi anayekaa na watoto wako kwa muda mrefu wakati wazazi wako kazini
2. Mama na Baba wa mtoto
3. Walezi
4. Walimu wa mafundisho ya kidini
Nk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.