Sitaki kuamini kama tegemeo kubwa la chadema limekuwa kwa mange kimambi,, recho dangwa, baba yenu mwandambo japo kwa sasa mlishaanza kumkataa kama mlivyomkataa mbowe..
Hawa jamaa wa kikatoliki wanajikuta watu daraja la kwanza kwenye taifa hili... tangu enzi ya baba nyerere walidekezwa sana hawa.. hii nchi yetu wote hata wasio na dini vile vile.. tangu maslahi yao yaguswe pale bandarini basi wamekuwa na chuki kweli na serikali.
Hizi hasira hata sisi wenye biashara zetu tunazo sana sio nyinyi vibaka tu.. na kwa taarifa yako safari mkiiba tena na kuvunja vitu vyetu itakuwa mara mbili ya October 29...
Wakenya mko wapi?? Acheni shobo na Tanzania,, museven huyo pambaneni nae sasa.. mana kutwa tik tok kuanzisha mijadala inayohusiana na bongo.. sasa museven huyo kakiwasha rukeni nae
Hata chagadema ni chama cha wanafiki vile vile ndio maana viongozi wao wale wakubwa wote wamekimbilia ccm.. na wanapofika ccm wanapewa madaraka makubwa tu, kifupi chagadema ni ccm B.. rejea kwa Joshua nasari, lijua likali, dr mashinji, Ester bulaya , dr silaa hawa ni wachache tu ambao baada ya...
Kwani nyie hamjafa wala kutiwa mbaroni.. ina maana nyie kumbe ndo mlikuwa mnawasakizia watoto wa watu wakaibe kwa kivuli cha kukomboa nchi huku nyie mmejifungia ndani.. sasa lengo lenu limefanikiwa kwa sasa mmerudi tena mitandaoni kujifanya nyie mna uchungu sana na waliokufa wanafiki wakubwa nyie..
Hawezi kutoa pole kwa vibaka.. mwenye kiranga hapewi pole.. yani kifo unakifosi mwenyewe kwa kukata watu vidole kuvunja ATM mchana jua linawaka kwa kisingizio cha kukomboa nchi ukilambwa shaba alafu upewe pole.. hata mie siwezi kufanya ujinga kama huo
Yani dini yao ndo inawafanya wawe masikini?? Basi kama ndo hivyo Brunei 🇧🇳 wangekuwa masikini mana nchi nzima waiislam.. we itakuwa huipendi tu hiyo dini
Kwa akili zako chaujuaji utailaumu kweli Iran suala la Mahindi kama alivokuwa mwenzio MK254 mana huyu hata akigongewa mkewe na masela kule kibera lawama kwa maustadh
Ongeza na wale waisrael wa homboza, boko mnemela, mbagara, majimatitu, goba mgeni chongo nk.. ndugu zenu wamelipua kanisa huku baada ya kuwashinda kule kwa mfuga ndevu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.